Nami naomba msaada mwepesi. Sasa hivi nipo hapa Mwenge Bamaga barabara ya Alli Hassani Mwinyi. Nataka nifike ofisi za Multichoice ku update details za decoder yangu. Kuna umbali gani na kuelekea upande gani?
Wakuu,
Nimelipia Dstv decoder ikiwa imezimwa, nilipoiwasha ikawa haiko activated...naomba msaada kama kuna jinsi ya kufanya maana niko mbali na ofisi zao. Na nikiwapigia namba yao haipatikani.
Ahsanteni.
hii chini mimi ndio natumia kila mara maana nabadilisha sana package so kuactivate lazima ni wapigie ...Mkuu, hakirudishwi kitu, unatumia pesa yako lakini bado namba haipatikani...ni kero tupu ndugu yangu.