Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hili la kusubiri mpaka siku itimie siliungi mkono; shetani na hila nyingi kama wazazi wameshindwa kumwelewa seuze kasisi wa kanisa.............hapana aise mwambir Jen aondoke sasa hivi wala asijikawize; Amani ya nafsi yake ni kitu muhimu zaidi ya vyote
Alafu siku ikitimia ukiona ana nyuki mbili sijui utamrudisha kanisani tena???