Msaada: Soko la ajira kwa ded in psychology

CASSIUS

Member
Nov 1, 2012
36
5
Naomba mtu yeyote mwenye kujua masomo ya BED IN PSYCHOLOGY baada ya chuo soko la ajira likoje anisaidie. Je serikali huwa inatoa ajira za moja kwa moja kama ilivyo kwa walimu waliosoma mf. BA with Education? Pia anaweza kufanya kazi zipi? Zaidi ya hapo niwapongeza nyote ambao mmesha jua wapi tutakua kuanzia mwishoni mwa september; pia niwatie Matumaini wale wote ambao pengine hawajajua nini ni hatima yao kwa kipidi hiki. Msiwe na shaka Muda si mrefu mtajua tu.
 
Zaman walikuwa wanaajiriwa moja kwa moja na wanaenda kufundisha vyuo vya ualimu na ustawi wa jamii but now uchakachuaji mwingi so unaweza ucpate ajira kabsaa
 
hiyo ni education..... ajira unapata hata uwe na gpa ya ngapi..... kikubwa umalize chuo.... unapangiwa ajira moja kwa moja
 
Back
Top Bottom