Msaada: Smartphone yangu haiunganishi wireless internet kwenye kompyuta yangu

Karanga Mwitu

Member
Nov 2, 2018
43
70
Habari wanaJF?, Natumai mko poa Sana, mwenzenu Nina changamoto Nina simu ya Aina ya infinix, hapo mwanzo nilikua nakonnect vizuri kwenye computer.

Sasa hivi karibuni nimekonnect Mara kadhaa haikubali inasema " Window unable to connect". Nimejaribu kutumia Tecno, imezingua ila nimetumia simu ya jamaa yangu Aina ya Huawei imeconnect vizuri.

Sasa nikawaza labda nifomati simu, nikafomati haijakubali.

Changamoto ndo hiyo wadau naomba msaada, upande wa kompyuta yangu iko poa tu changamoto ni simu. Kwa anayejua namna kutatua Hilo tatizo.

Karibuni wadau.
 
Kuna masimu flani ya itel,tecno na infinix huwa yana kigugumizi kwenye WIFI,embu jaribu kubadili line likigoma shusha mnara uwe 3g,kama limekataa tena basi reset network na ikigoma kabisa inabidi ureset system nzima.
 
Kuna masimu flani ya itel,tecno na infinix huwa yana kigugumizi kwenye WIFI,embu jaribu kubadili line likigoma shusha mnara uwe 3g,kama limekataa tena basi reset network na ikigoma kabisa inabidi ureset system nzima.
Asante Kwa mawazo
 
Jaribu ku Reset network settings.

Ikishindikana basi kamwone daktari wa simu (fundi).

Fundi akishindwa, basi achana na hicho kifaa cha mawasiliano, nunua SIMU.
 
Izo simu baada ya mwaka kimisbehave kweny upande wa vitu kama Bluetooth, izo wireless connection ni kawaida sana mpaka uchonokoe sana.
 
Embu Fanya hivi

Kama ulishawah konect hiyo wi fi nenda forget wi fi

The reboot cm yako

Kama unaweza clea ache na clea data WiFi network


Ni vyema ungesema model ya simu ili usaidiwe upesi
 
Habari wanaJF?, Natumai mko poa Sana, mwenzenu Nina changamoto Nina simu ya Aina ya infinix, hapo mwanzo nilikua nakonnect vizuri kwenye computer.

Sasa hivi karibuni nimekonnect Mara kadhaa haikubali inasema " Window unable to connect". Nimejaribu kutumia Tecno, imezingua ila nimetumia simu ya jamaa yangu Aina ya Huawei imeconnect vizuri.

Sasa nikawaza labda nifomati simu, nikafomati haijakubali.

Changamoto ndo hiyo wadau naomba msaada, upande wa kompyuta yangu iko poa tu changamoto ni simu. Kwa anayejua namna kutatua Hilo tatizo.

Karibuni wadau.

Settings za simu USB Preferences zipo sawa sawa mkuu?
 
Nilishawahi kumiliki TECNO. TECNO na INFINIX ni dugu moja. Zikishafikia Expiry date huwa zinazingua sana. Kila leo itakuja na kituko aina tofauti au kujirudia.
Mojawapo ya kituko ilichokuwa inanifanyia ile TECNO ni kujizima na kisha kujiwasha yenyewe. Siku nyingine ilikuwa ikiamua inagoma kufanya chochote- yaani ina 'stack' mpaka itapoamua yenyewe kujizimua........
 
Back
Top Bottom