Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 535
- 224
Habari wakuu,,!
Jamani simu yangu inatatizo gani maana kila niki download kitu chochote nikitaka kukifungua inaniambia "File format not supported" ni simu aina ya Nokia ashia 303. Najua kuna wataalamu wengi sana humu jamani nisaidieni maana nime download Pdf haifunguki.
Jamani simu yangu inatatizo gani maana kila niki download kitu chochote nikitaka kukifungua inaniambia "File format not supported" ni simu aina ya Nokia ashia 303. Najua kuna wataalamu wengi sana humu jamani nisaidieni maana nime download Pdf haifunguki.