Naomba msaada,nimeshindwa kupata orodha ya majina ya waliochaguliwa ualimu diploma kwenye hii second selection ambayo wameyatoa Nacte tarehe 31 march,kwaio naomba aliyeona aorodheshe nami niweze kuyaona,waweza orodhesha apa au nitumie kwnye email yangu hii Prosperlucas21@gmail.com. Nawaombeni sana wana Jf