Kichwa cha habari chahusika,
Nimejikuta nikapatwa na huzuni kuu mara baada ya jana kutangazwa majina ya waliochaguliwa kada ya ualimu na kutoona jina langu.
Mimi ni muhitimu wa shahada ya ualimu miaka sita iliyopita katika masomo ya sayansi.
Nilihitimu mwaka 2017. Tangu hapo nimekuwa nikijitolea huku nikiomba ajira zinazotangazwa lakini mpaka leo hii jina langu halipita.
Natamani kufahamu changamoto ni nini, Maana kama kigezo cha miaka ninacho, Kuhusu masomo ni sayansi nikiwa nimemeja kwenye somo la biolojia.
Nilijianza kujitolea kupitia mfumo wa TAHOSA mwaka mmoja na baada ya hapo niliendelea kujitolea kufundisha tangu 2019 mpaka leo.
Naomba msaada wa kuwasiliana na Mama Kairuki. Au kwa yeyote mwenye mchango niweze kupata ajira niondokane na msongo wa mawazo kwa kushindwa kusaidia wazazi wangu ambao ni wazee na wanahitaji msaada TOKA kwangu.
Natanguliza shukrani kwa wote
Nimejikuta nikapatwa na huzuni kuu mara baada ya jana kutangazwa majina ya waliochaguliwa kada ya ualimu na kutoona jina langu.
Mimi ni muhitimu wa shahada ya ualimu miaka sita iliyopita katika masomo ya sayansi.
Nilihitimu mwaka 2017. Tangu hapo nimekuwa nikijitolea huku nikiomba ajira zinazotangazwa lakini mpaka leo hii jina langu halipita.
Natamani kufahamu changamoto ni nini, Maana kama kigezo cha miaka ninacho, Kuhusu masomo ni sayansi nikiwa nimemeja kwenye somo la biolojia.
Nilijianza kujitolea kupitia mfumo wa TAHOSA mwaka mmoja na baada ya hapo niliendelea kujitolea kufundisha tangu 2019 mpaka leo.
Naomba msaada wa kuwasiliana na Mama Kairuki. Au kwa yeyote mwenye mchango niweze kupata ajira niondokane na msongo wa mawazo kwa kushindwa kusaidia wazazi wangu ambao ni wazee na wanahitaji msaada TOKA kwangu.
Natanguliza shukrani kwa wote