Nimepatwa na huzuni kuu baada ya kutangazwa majina ya walimu, nimekuwa nikijitolea bila mafanikio

100miles

Senior Member
Oct 30, 2018
132
304
Kichwa cha habari chahusika,

Nimejikuta nikapatwa na huzuni kuu mara baada ya jana kutangazwa majina ya waliochaguliwa kada ya ualimu na kutoona jina langu.

Mimi ni muhitimu wa shahada ya ualimu miaka sita iliyopita katika masomo ya sayansi.
Nilihitimu mwaka 2017. Tangu hapo nimekuwa nikijitolea huku nikiomba ajira zinazotangazwa lakini mpaka leo hii jina langu halipita.

Natamani kufahamu changamoto ni nini, Maana kama kigezo cha miaka ninacho, Kuhusu masomo ni sayansi nikiwa nimemeja kwenye somo la biolojia.

Nilijianza kujitolea kupitia mfumo wa TAHOSA mwaka mmoja na baada ya hapo niliendelea kujitolea kufundisha tangu 2019 mpaka leo.

Naomba msaada wa kuwasiliana na Mama Kairuki. Au kwa yeyote mwenye mchango niweze kupata ajira niondokane na msongo wa mawazo kwa kushindwa kusaidia wazazi wangu ambao ni wazee na wanahitaji msaada TOKA kwangu.

Natanguliza shukrani kwa wote
 
Sikupi pole wala faraja yoyote!!! Hivi unawezaje kujitolea kijana shupavu mwenye degree ya sayansi umeshindwa kujiajiri kazi na fursa Zipo nyingi nchi yetu Tanzania

Walimu hivi huwa mnarogwa au mnakufa mnakuwa misukule? Kamshahara ambacho hakana hata posho, msoto wanaopata walimu na wewe unataka? Ahsee nikushauri kitu bora ukafanya mambo yako hujachelewa maana kule wanaenda walokata Tamaa ya maisha, waliojawa laana hata shetani hawataki Wala Mungu hawataki na wananchi hatuwataki majizi ya kura siku za uchaguzi ndomaana hayaendelei
 
Kichwa cha habari chahusika,

Nimejikuta nikapatwa na huzuni kuu mara baada ya jana kutangazwa majina ya waliochaguliwa kada ya ualimu na kutoona jina langu.

Mimi ni muhitimu wa shahada ya ualimu miaka sita iliyopita katika masomo ya sayansi.
Nilihitimu mwaka 2017. Tangu hapo nimekuwa nikijitolea huku nikiomba ajira zinazotangazwa lakini mpaka leo hii jina langu halipita.

Natamani kufahamu changamoto ni nini,
Maana kama kigezo cha miaka ninacho,
Kuhusu masomo ni sayansi nikiwa nimemeja kwenye somo la biolojia.

Nilijianza kujitolea kupitia mfumo wa TAHOSA mwaka mmoja na baada ya hapo niliendelea kujitolea kufundisha tangu 2019 mpaka leo.

Naomba msaada wa kuwasiliana na Mama Kairuki.
Au kwa yeyote mwenye mchango niweze kupata ajira niondokane na msongo wa mawazo kwa kushindwa kusaidia wazazi wangu ambao ni wazee na wanahitaji msaada TOKA kwangu.

Natanguliza shukrani kwa wote
MshuKuru mungu kwa kuepusha kuingia kwenye gereza la mateso mapya
 
Kichwa cha habari chahusika,

Nimejikuta nikapatwa na huzuni kuu mara baada ya jana kutangazwa majina ya waliochaguliwa kada ya ualimu na kutoona jina langu.

Mimi ni muhitimu wa shahada ya ualimu miaka sita iliyopita katika masomo ya sayansi.
Nilihitimu mwaka 2017. Tangu hapo nimekuwa nikijitolea huku nikiomba ajira zinazotangazwa lakini mpaka leo hii jina langu halipita.

Natamani kufahamu changamoto ni nini,
Maana kama kigezo cha miaka ninacho,
Kuhusu masomo ni sayansi nikiwa nimemeja kwenye somo la biolojia.

Nilijianza kujitolea kupitia mfumo wa TAHOSA mwaka mmoja na baada ya hapo niliendelea kujitolea kufundisha tangu 2019 mpaka leo.

Naomba msaada wa kuwasiliana na Mama Kairuki.
Au kwa yeyote mwenye mchango niweze kupata ajira niondokane na msongo wa mawazo kwa kushindwa kusaidia wazazi wangu ambao ni wazee na wanahitaji msaada TOKA kwangu.

Natanguliza shukrani kwa wote
Mimi naona mwenye makosa ni wewe, unajitolea? For what? Wastage of time.. unastahili bakora
 
Kichwa cha habari chahusika,

Nimejikuta nikapatwa na huzuni kuu mara baada ya jana kutangazwa majina ya waliochaguliwa kada ya ualimu na kutoona jina langu.

Mimi ni muhitimu wa shahada ya ualimu miaka sita iliyopita katika masomo ya sayansi.
Nilihitimu mwaka 2017. Tangu hapo nimekuwa nikijitolea huku nikiomba ajira zinazotangazwa lakini mpaka leo hii jina langu halipita.

Natamani kufahamu changamoto ni nini,
Maana kama kigezo cha miaka ninacho,
Kuhusu masomo ni sayansi nikiwa nimemeja kwenye somo la biolojia.

Nilijianza kujitolea kupitia mfumo wa TAHOSA mwaka mmoja na baada ya hapo niliendelea kujitolea kufundisha tangu 2019 mpaka leo.

Naomba msaada wa kuwasiliana na Mama Kairuki.
Au kwa yeyote mwenye mchango niweze kupata ajira niondokane na msongo wa mawazo kwa kushindwa kusaidia wazazi wangu ambao ni wazee na wanahitaji msaada TOKA kwangu.

Natanguliza shukrani kwa wote
Usikate tamaa. Nina mashaka kama kweli huwa una apply hizo nafasi za ualimu, nahisi umezubaa kujitolea as if utumishi wanakuona. Zinapotoka omba, utapata lakini ukijificha kwenye kujitolea, my friend utalalama sana, by the way utumishi kuna nepotism ya kutupwa balaa now days.
 
Usikate tamaa. Nina mashaka kama kweli huwa una apply hizo nafasi za ualimu, nahisi umezubaa kujitolea as if utumishi wanakuona. Zinapotoka omba, utapata lakini ukijificha kwenye kujitolea, my friend utalalama sana, by the way utumishi kuna nepotism ya kutupwa balaa now days.
Hakuna ambazo sijaomba, zote naomba kwa umakini mkubwa
 
Pole kiongozi najua inauma miaka 6 sio mchezo. Ila ndugu nakuombaa tafuta kazi ya kufanya achana na kujitolea, ninyi ndio mnaosababisha Serikali isifikilie kuajiri sasabu hawaoni upungufu mashuleni. Nafasi mnaziba nyie kwa mtindo huu tutegemee mtu aliyemaliza 2017 kama wewe kwa masomo kama yako ya sayansi kuja kupata ajira 2030 na WA art aliyehitimu na wewe kuja kupata 2032.

Muda mwingine sisi wenyewe vijana ndio maadui wa mafanikio yetu acheni walioajiriwa wafanye kazi zao msiwasaidie, mnaipa ulemavu Serikali kutotafuta suluhu ya matatizo yetu vijana but yote kwa yote pole kuwa mvumilivu katika kipindi hiki kigumu.
 
Back
Top Bottom