Brightly
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 275
- 367
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya pili ambayo huwa ya mwisho na yenyewe pia huaga naenda haizidii dakika labda mara moja moja huwa inazidii hapo
Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.
Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.
Mwanzoni nilichukulia ni kawaidaa tuu mpaka jana niliposhindwa kabisa kufanya chochotee yaani ilisimama tu nilipotaka kuingiza nikawa nimemuaga nilijitahidii saana kurudia round ya pili lakini ilinichukua nusu saa nzima kurudia round ya pili ambapo pia uume haukusimama vizurii hivyo nilichukua chini ya dakika tatu kumaliza kitu ambacho kilinidharirisha Sana japo hilo sikujalii saana ila naona naanza kuogopaa Sasa.
Naombenii ushaurii wenu au yeyote anaejua tiba ya kudumu ambayo haina madhara mwilini anisaidiee saana au mtaalamu wa afya anaejua Mambo hayo anisaidiee.
Checklist:
(1). Sijawahii kupiga punyeto kabisa katika maisha yangu Tangia nizaliwe huaga nasikia tuu kama storii.
(2). Mimi sio mpenzii wa video za ngono au niseme huaga siangalii au sijawahii kuwa mraibu wa video za ngono.
(3) Mimi sio muhunii natafuta tiba Kwa ajili ya Mke wangu tuu.
(4) Sijawahii kutumia aina yeyote ya kilevii au madawa yeyote ya kulevya Tangia nizaliwe
(5) Umri wangu ni chini ya miaka 30 na Nina afya njema kabisa Mimi sio mnene ni mwembamba na Wala sijawahii kuwa mnene.
Natumainii nitapata ushaurii wa kunisaidia ndugu zangu ikiwezekana tiba kabisa.