Hapana wanahitaji chemistry,physics na mathematics kwa medical attendant imefutwa siku iziwanajamvi ivi kama mtu hajasoma masomo ya sayansi anawaza kusoma kozi ya nursing assistance kama bios kafaulu? na ni vyuo gani msaada please natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wako
Unaweza ukasoma community health ya mwaka mmoja ila unatakiwa kuwa na D tano ikiwemo ya biologywanajamvi ivi kama mtu hajasoma masomo ya sayansi anawaza kusoma kozi ya nursing assistance kama bios kafaulu? na ni vyuo gani msaada please natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wako
wanajamvi ivi kama mtu hajasoma masomo ya sayansi anawaza kusoma kozi ya nursing assistance kama bios kafaulu? na ni vyuo gani msaada please natanguliza shukrani zangu za dhati kwa msaada wako
HapanaUnaweza ukasoma community health ya mwaka mmoja ila unatakiwa kuwa na D tano ikiwemo ya biology
Na vipi mkuu kozi za afya kwa Diploma, Application zinaanza lini?Hapana
Ni D nne ikiwepo ya biology
Inahusu nnNursing assistant na medical attendant zimefutwa ipo
Community health
Jibu ni ndiyo unaweza kusoma kwa hii kozi maana wanahitaji angalau D NNE ikiwepo ya biology hayo mengine chemistry na physics siyo ya lazima ata mwana arts pure anasoma tu ili mladi biology awe amefaulu
Baada ya matokeo ya 6Na vipi mkuu kozi za afya kwa Diploma, Application zinaanza lini?
Ahsante mkuuBaada ya matokeo ya 6
Yeah anawezaInahusu nn
VP mbeln naweza ingia maybe nursing via hiyo C.H
Nadhani nacte watatoa taarifa cha muhimu uwe unapitia pitia taarifa kwenye tovuti ya nacte Mara kwa maraNa vipi mkuu kozi za afya kwa Diploma, Application zinaanza lini?