TyterBanks
New Member
- Jan 10, 2024
- 1
- 2
Ndugu wana jamii forum ni matumaini yangu kua mu bukheri wa afya.
Sasa ndugu zangu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kukojoa mara kwa mara pasipo maumivu yoyote isipo kuna hali fulani hivi ya kuvimba upande wa kushoto pindi napo taka kukojoa ma kabla ya kukojoa. Na sikwamba nakunywa maji mara kwa mara lahashaa ni vile hali inanitokea tu.
Je, ni kweli ni shida ya kibofu au figo?
So kama kuna madaktari tusaidiane kujua tatizo, coz nshaenda hospital pasi mafanikio yoyote
Sasa ndugu zangu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kukojoa mara kwa mara pasipo maumivu yoyote isipo kuna hali fulani hivi ya kuvimba upande wa kushoto pindi napo taka kukojoa ma kabla ya kukojoa. Na sikwamba nakunywa maji mara kwa mara lahashaa ni vile hali inanitokea tu.
Je, ni kweli ni shida ya kibofu au figo?
So kama kuna madaktari tusaidiane kujua tatizo, coz nshaenda hospital pasi mafanikio yoyote