Msaada: Namna ya ku-withdraw pesa kutoka kwa broker kwa njia rahisi kwenye biashara ya Forex

namimi07

Member
Oct 27, 2018
45
51
Jamani habari zenu wadau?

Mimi nimeweza kutengeneza faida kwenye hii biashara lakini naona kuna Namna ntafeli wakati wa kuwithdraw. Najua mtaniambia kuwa kwa nini sikuwaza hilo kabla ya kuanza? Naombeni Masada. Magwiji wa kuwithdraw/kutoa pesa kutoka kwenye account zao za forex hadi Benki/ Mpesa, Tigo Pesa naombeni msaada. Maana issue sio kudeposit tu. Kingine ni kuwa niliambiwa lazima nifungue bank account na ma benki ya nje mf: standard chartered, KCB etc ili nisipate usumbufu kwakuwa benki kama CRDB huwa ni wasumbufu. Mbona wakati wa kudeposit Nilikuwa naweka pesa kirahiiisi mfyuu.

Haya jamani, ntashukuru kwa michango yenu
 
Njia rahisi ya kufanya deposit/Withdraw ni kutumia Mobile (Tigopesa/ mpesa/ airtel money)
  • Kuna baadhi ya broker wana direct option ya kutumia Mobile katika deposit/ Withdraw
  • Na kuna baadhi ya broker Mawakala hutumika kukamilisha hilo zoezi la withdraw kupitia Mobile (Tigopesa/ mpesa/ airtel money)
Hivyo Jambo la msingi ni Chagua broker sahihi ili iwe rahisi kupata fedha yako pindi utakapohitaji kutoa.
 
Njia rahisi ya kufanya deposit/Withdraw ni kutumia Mobile (Tigopesa/ mpesa/ airtel money)

Kuna baadhi ya broker wana direct option ya kutumia Mobile katika deposit/ Withdraw

Na kuna baadhi ya broker Mawakala hutumika kukamilisha hilo zoezi la withdraw kupitia Mobile (Tigopesa/ mpesa/ airtel money)

Hivyo Jombo la msingi ni Chagua broker sahihi ili iwe rahisi kupata fedha yako pindi utakapohitaji kutoa.
Tupe orodha ya Brokers wanao ruhusu kufanya deposit na withdrawal na mobile money. Je deposit ni direct to broker /instant transfer?
 
Njia rahisi ya kufanya deposit/Withdraw ni kutumia Mobile (Tigopesa/ mpesa/ airtel money)

Kuna baadhi ya broker wana direct option ya kutumia Mobile katika deposit/ Withdraw

Na kuna baadhi ya broker Mawakala hutumika kukamilisha hilo zoezi la withdraw kupitia Mobile (Tigopesa/ mpesa/ airtel money)

Hivyo Jombo la msingi ni Chagua broker sahihi ili iwe rahisi kupata fedha yako pindi utakapohitaji kutoa.
Wengine wanaruhusu crypto transfer and withdrawal. Hapo sasa si unapeleka pesa p2p….ila njia ndefu aisee
 
Wengine wanaruhusu crypto transfer and withdrawal. Hapo sasa si unapeleka pesa p2p….ila njia ndefu aisee
Je kwanini utumie njia ndefu?

Chukulia exness
  • Deposit Instant kwa mpesa/Tigo pesa/ Airtel money
  • Withdraw Instant kwa mpesa/Tigo pesa/ Airtel money
Why utumie njia ndefu? Tunarudi pale pale, Swala lipo kwako katika uchaguzi wa broker utakayetumia.
 
Je kwanini utumie njia ndefu?

Chukulia exness
  • Deposit Instant kwa mpesa/Tigo pesa/ Airtel money
  • Withdraw Instant kwa mpesa/Tigo pesa/ Airtel money
Why utumie njia ndefu? Tunarudi pale pale, Swala lipo kwako katika uchaguzi wa broker utakayetumia.
Okay sir, much appreciated 😊
 
Jamani habari zenu wadau?
Mimi nimeweza kutengeneza faida kwenye hii biashara lakini naona kuna Namna ntafeli wakati wa kuwithdraw. Najua mtaniambia kuwa kwa nini sikuwaza hilo kabla ya kuanza? Naombeni Masada. Magwiji wa kuwithdraw/kutoa pesa kutoka kwenye account zao za forex hadi Benki/ Mpesa, Tigo Pesa naombeni msaada. Maana issue sio kudeposit tu. Kingine ni kuwa niliambiwa lazima nifungue bank account na ma benki ya nje mf: standard chartered, Kcb etc ili nisipate usumbufu kwakuwa benki kama CRDB huwa ni wasumbufu. Mbona wakati wa kudeposit Nilikuwa naweka pesa kirahiiisi mfyuu. Haya jamani, ntashukuru kwa michango yenu
Uwe mwangalifu kila broker ana masharti yake. Njia uliyotumia kudeposit ndio njia unayopaswa kuwithdrawal.
Mara nyingi skrill ndiye mkombozi
 
Skrill
Screenshot_20220331-172833_Chrome.jpg
 
Kwa kuwa nakupenda ngoja nikupe kaushauri fulani kazuri.Kama umeamua kufanya hiyo biashara usiishie tu kwenye kutrade currency,jifunze kutrade financial market nzima.Jifunze kutrade stocks,bonds pamoja na commodity pia.
Ushauri mzuri.
Kutegemea currency pairs pekee ni mzigo.
Hazina volatiloty kubwa
 
Jamani habari zenu wadau?
Mimi nimeweza kutengeneza faida kwenye hii biashara lakini naona kuna Namna ntafeli wakati wa kuwithdraw. Najua mtaniambia kuwa kwa nini sikuwaza hilo kabla ya kuanza? Naombeni Masada. Magwiji wa kuwithdraw/kutoa pesa kutoka kwenye account zao za forex hadi Benki/ Mpesa, Tigo Pesa naombeni msaada. Maana issue sio kudeposit tu. Kingine ni kuwa niliambiwa lazima nifungue bank account na ma benki ya nje mf: standard chartered, Kcb etc ili nisipate usumbufu kwakuwa benki kama CRDB huwa ni wasumbufu. Mbona wakati wa kudeposit Nilikuwa naweka pesa kirahiiisi mfyuu. Haya jamani, ntashukuru kwa michango yenu
Ni broker gani unamtumia? na ulitumia njia gani kwenye kudeposit?
 
Back
Top Bottom