Msaada: Mtanganyika kufungua duka Zanzibar

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
628
1,648
Wakuu nikitaka kufungua duka Zenji na mie naishi Bara kuna utaratibu wa kufuata au naweza tu jichanganya nao nikafungua nikaendela na business.

Nataka kuweka branch Zanzibar lakini nature ya biashara yangu ni duka kubwa kama shopping center hivi.
 
Back
Top Bottom