mean girl Member Feb 22, 2011 27 1 May 9, 2012 #1 Natanguliza shukrani za dhati,na ningependa kupewa msaada kujua je mtaji wa 1.5 unafaa biashara gani hapa bongo? Asanteni
Natanguliza shukrani za dhati,na ningependa kupewa msaada kujua je mtaji wa 1.5 unafaa biashara gani hapa bongo? Asanteni
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,685 68,667 May 9, 2012 #2 Kwa bongo labda ufungue Mpesa au vitu vinavyousiana na hvyo!
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,194 May 9, 2012 #3 mean girl said: Natanguliza shukrani za dhati,na ningependa kupewa msaada kujua je mtaji wa 1.5 unafaa biashara gani hapa bongo? Asanteni Click to expand... Mkuu hujaeleweka kwamba una maana ya 1.5million, billion au trillion??
mean girl said: Natanguliza shukrani za dhati,na ningependa kupewa msaada kujua je mtaji wa 1.5 unafaa biashara gani hapa bongo? Asanteni Click to expand... Mkuu hujaeleweka kwamba una maana ya 1.5million, billion au trillion??
mean girl Member Feb 22, 2011 27 1 May 11, 2012 Thread starter #4 Power said: Mkuu hujaeleweka kwamba una maana ya 1.5million, billion au trillion??[ 1.5 mill ta kitanzania ndugu yangu Click to expand...
Power said: Mkuu hujaeleweka kwamba una maana ya 1.5million, billion au trillion??[ 1.5 mill ta kitanzania ndugu yangu Click to expand...