Mita ni ya TANESCO, nakushauri wapigie wao simu.naombeni msaada wakuu nyumbani kwangu natumia mita za umeme za luku zile za remote..sasa ghafla umeme ndan umezima na nikiisoma remote imeweka alama ya switch iko off...tatizo linaweza kuwa nn?...
Na ukizidi v 250 zinakata umeme. Wakati mwingine, hauwaki mpaka ukatike na kuwaka tena!Umeme mdogo izo mita nijanga hasa maeneo yenye umeme mdogo