Speculator
Member
- Mar 30, 2012
- 56
- 4
Pana jamaa yangu katumiwa meseji , hajajua hao majambazi walipo, wanamwamuru kuwapa pesa kwa simu ya voda, afanyeje ili ajue walipo hao majambazi , kama pana mtu anaweza saidia kujua hili tafadhali, au ushauri wowote wa kuyatambua/ kuyakamata hayo majambazi,