msaada; memory card yangu haisomi kwenye simu.

Yusomwasha

JF-Expert Member
Dec 5, 2014
2,092
835
wakuu nisaidieni nina memory ya gb 8 ila tatzo imeharibika inaniandika MEMORY IS BLANK najaribu kuERASE lakini inagoma haisomi hata kwenye simu kwamba ipo
nifanyeje ama.nitumie app gani????
 
Download application kweny pc inaitwa memory recovery. Tafuta card reader ichomeke memory. Run hyo application. Unaweza kuangalia totorio kwenye yutyub namna ya kuitumia hyo application
 
Download application kweny pc inaitwa memory recovery. Tafuta card reader ichomeke memory. Run hyo application. Unaweza kuangalia totorio kwenye yutyub namna ya kuitumia hyo application
tatzo.sina.pc mkuu nina simu tu
 
wakuu nisaidieni nina memory ya gb 8 ila tatzo imeharibika inaniandika MEMORY IS BLANK najaribu kuERASE lakini inagoma haisomi hata kwenye simu kwamba ipo
nifanyeje ama.nitumie app gani????
kama una PC tupa tu iyo memory card
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom