Rai Pazzy
JF-Expert Member
- Jul 6, 2015
- 488
- 184
Jamani wanajamvi naomba kama kuna mwenye uelewa na hii kitu anisaidie kutatua tatizo.
Laptop ilikuwa inafanya kazi vizuri tu lakini ghafla screen ikawa ya rangi ya blue then ikasema kuna tatizo inalidhughulikia chini kulikuwa na asilimia zinapanda yani ilianza kumi then 15 ilipofika 20 asilimia ikazima ghafla kioo kikaonesha weusi ndo signal yoyote ile then ndo kama mnavyoona hapa chini
Aina Dell E5420
Sent using Jamii Forums mobile app
Laptop ilikuwa inafanya kazi vizuri tu lakini ghafla screen ikawa ya rangi ya blue then ikasema kuna tatizo inalidhughulikia chini kulikuwa na asilimia zinapanda yani ilianza kumi then 15 ilipofika 20 asilimia ikazima ghafla kioo kikaonesha weusi ndo signal yoyote ile then ndo kama mnavyoona hapa chini
Aina Dell E5420
Sent using Jamii Forums mobile app