Msaada Kwenye Tuta Jamani: Ni Vizuri Kulijua Hili Kabla ya Kuingia Kwenye Ndoa?

Ukali wa baba, mimba kukanwa na mwanamme, umri, n.k. kama ulivyosema sio sababu zisizoweza kuzuilika hadi kufikia uamuzi wa kutoa mimba (kuua binadamu). Ni bogus kabisa kutumia visingizio hivyo na kuondoa uhai wa binadamu asiye na makosa na aliye defenseless!! Shame on all the people who use those lame a.ss excuses to kill unborn babies. Abortion is so wrong on so many levels.

Nakusapoti Julius, hata kama na mimi ni mwanamke, mambo hayo ya ukali wa baba, mwanaume asiye serious, umri, shule ni mambo ambayo wanaotoa mimba wanayafanya kama excuse lakini cha kushangaza ni kwamba haya mambo huwa yanakuwepo kabla ya kujamiiana lakini hawayafikirii kwa undani hadi hapo mimba zinapoingia..

kama hizo ndio sababu za kutoa mimba kwa nini zisiwe ndio sababu za kutojamiiana na mtu au kujikinga?
 
Nakusapoti Julius, hata kama na mimi ni mwanamke, mambo hayo ya ukali wa baba, mwanaume asiye serious, umri, shule ni mambo ambayo wanaotoa mimba wanayafanya kama excuse lakini cha kushangaza ni kwamba haya mambo huwa yanakuwepo kabla ya kujamiiana lakini hawayafikirii kwa undani hadi hapo mimba zinapoingia..

kama hizo ndio sababu za kutoa mimba kwa nini zisiwe ndio sababu za kutojamiiana na mtu au kujikinga?


Kama ulishajaribu ku-observe hayo mambo au una ushuhuda basi tupashe na sisi. JF ndiyo kisima cha kushea uzoefu.
 
Wapendwa wanaJF, nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuhusu kabla mtu hajaingia kwenye ndoa akaambiwa ukweli kwamba mwenzi wake alikuwa na tabia ambazo sio nzuri, kwa mfano umalaya, uhuni, ulevi, kutoa mimba, nk. Je, ni vizuri jamani au itamfanya awe mbali zaidi na mwenzi wake kuliko kujua undani wake? Kwa ujumla: Lipi bora, kujua au kutokujua juu ya tabia au mambo hayo kabla? Msaada tafadhali, msiniulize kama yamenikuta au la!

mie naona cha muhimu ni tabia alizonazo mtu wakati wa uchumba ambazo kama upo karibu nae sana utakuwa umeshazijua kabla hata ya kuchumbia, mambo mengine mabaya huwa yanakuwa yamepita mda mrefu tuu na huyo mchumba anakuwa amejifunza na kuachana nayo, na sidhani kama kuna haja ya kuya tifua tena hasa kama ni ya kuumiza roho cha muhimu ni kuwa wazi na kuchunguza tabia ambazo bado mtu anazo sasa...
 
sasa hii thread naona imegeuka kuwa kudiscuss utoaji mimba..... hivi nyie wanaume nasi tukiwauliza mimba ngapi zako zilitolewa??? mtajibu?? its both ways eti! is it the biggest crime or sin that a woman cd commit???
..Kaazi kweli kweli.....!!
 
mie naona cha muhimu ni tabia alizonazo mtu wakati wa uchumba ambazo kama upo karibu nae sana utakuwa umeshazijua kabla hata ya kuchumbia, mambo mengine mabaya huwa yanakuwa yamepita mda mrefu tuu na huyo mchumba anakuwa amejifunza na kuachana nayo, na sidhani kama kuna haja ya kuya tifua tena hasa kama ni ya kuumiza roho cha muhimu ni kuwa wazi na kuchunguza tabia ambazo bado mtu anazo sasa...


Kweli kabisa. Kuna wahusika wenyewe wanaumia sana roho wakikumbuka mambo waliyoyafanya huko nyuma. Watu wengi wanapoamua kuingia kwenye mahusiano ya kudumu hutupa nyuma historia zao. Lakini kuna wachache ambao kamwe hawawezi kuacha. Ndiyo maana ndoa ina aina fulani ya mchezo wa kamari (may be 5-10%).
 
mie ckutakaga kujua huko nyuma alikuwaje, nilitajka nijue tulipoanzia na tunapoelekea bac inatosha, hapo nikutaka kudanganyana tu.....
 
mie ckutakaga kujua huko nyuma alikuwaje, nilitajka nijue tulipoanzia na tunapoelekea bac inatosha, hapo nikutaka kudanganyana tu.....

Kweli dada. Yule bibi kwenye Titanic alisema kuwa "A woman's heart is an ocean full of secrets". Mtu aking'ang'ania kuambiwa, atapewa hadithi hata kama ni za kupika, shauri yake!! Ni vema kuanzia ulipo na kuangalia mbele bila kutumia muda mwingi kwenye side mirror. Hiyo itaepusha ajali zisizo za lazima.
 
Kweli dada. Yule bibi kwenye Titanic alisema kuwa "A woman's heart is an ocean full of secrets". Mtu aking'ang'ania kuambiwa, atapewa hadithi hata kama ni za kupika, shauri yake!! Ni vema kuanzia ulipo na kuangalia mbele bila kutumia muda mwingi kwenye side mirror. Hiyo itaepusha ajali zisizo za lazima.



ajali za kijitakia, na huko nyuma hayo yalikuwa mambo yake yeye kama yeye, alifanya atakalo kama mie nilivyokuwa nafanya yangu, hata nikijua hayatanisaidia kwasasa, yatanisaidia niyaonayo/yashuhudia wakati tuliopo.

 
Kweli dada. Yule bibi kwenye Titanic alisema kuwa "A woman's heart is an ocean full of secrets". Mtu aking'ang'ania kuambiwa, atapewa hadithi hata kama ni za kupika, shauri yake!! Ni vema kuanzia ulipo na kuangalia mbele bila kutumia muda mwingi kwenye side mirror. Hiyo itaepusha ajali zisizo za lazima.


I love your opinions DC...hivi wewe ni she / he:D
 
I love your opinions DC...hivi wewe ni she / he:D

Ahsante sana dada. Nimekupigia senksi kama wanavyosema wanajamvi. Mimi ni big HE tena, a real husband and a dad. I can't wait to see my 3 boys becoming inspirations to some girls' hearts as genuine husbands like their dad (siyo mambo ya kichina)!:rolleyes:
 
Wapendwa wanaJF, nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuhusu kabla mtu hajaingia kwenye ndoa akaambiwa ukweli kwamba mwenzi wake alikuwa na tabia ambazo sio nzuri, kwa mfano umalaya, uhuni, ulevi, kutoa mimba, nk. Je, ni vizuri jamani au itamfanya awe mbali zaidi na mwenzi wake kuliko kujua undani wake? Kwa ujumla: Lipi bora, kujua au kutokujua juu ya tabia au mambo hayo kabla? Msaada tafadhali, msiniulize kama yamenikuta au la!

Kuku hachunguzwi! ukimchunguza hutaweza kumla
 
Ahsante sana dada. Nimekupigia senksi kama wanavyosema wanajamvi. Mimi ni big HE tena, a real husband and a dad. I can't wait to see my 3 boys becoming inspirations to some girls' hearts as genuine husbands like their dad (siyo mambo ya kichina)!:rolleyes:

powa...nami wacha nitie biddi ya kupata tubinti tuje kuchanganya aka ku-isnpire hao maboys wako...then we all win!!!!:)
 
Nashukuru kwa ushauri wenu lakin mlichokijadili ni mimba tuu! je kama alikua anarukiwa ovyo na hata wengine nawafahamu ila sijui kama nao wememrukia
sasa lipi bora kujua tabia zote ikiwemo na hao waliommega alafu hata swala la ulevi pia na mengine?? natafakari yote mpaka sasa!
 
usisahau kwanza kujua ulioyatenda then uamue kumfuatilia maana love is blind and life can be started freshly by mutual understanding when it comes into marriage and look at the future not the past
 
There's nothing that puts off mume au mke (sana sana Mume sababu wanaume wagumu kusamehe) kama kugundua some dirty history. I can assure that hiyo inabadilisha mwelekeo wa ndoa. Better akujua, akakubaliana na mtokeo kuliko uingie bila kujuachochote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom