Msaada Kwenye Tuta Jamani: Ni Vizuri Kulijua Hili Kabla ya Kuingia Kwenye Ndoa?

Ukali wa baba, mimba kukanwa na mwanamme, umri, n.k. kama ulivyosema sio sababu zisizoweza kuzuilika hadi kufikia uamuzi wa kutoa mimba (kuua binadamu). Ni bogus kabisa kutumia visingizio hivyo na kuondoa uhai wa binadamu asiye na makosa na aliye defenseless!! Shame on all the people who use those lame a.ss excuses to kill unborn babies. Abortion is so wrong on so many levels.

wewe utakayetunga hiyo mimba na kuikataa ndio utasababisha kitoto chako kutolewa kabla ya wakati, ungekua umekuja kwangu na gea njema ya upendo wa kweli, kitoto kisingeuliwa, lakini kwa vile unakuja kufanya uchafuzi tu unakataa damu yako na kusababisha kikatishwe maisha. usijifanye wewe ni msafi sana na kudhani wanawake ndio wenye dhambi. kama wewe ni mwanamme afadhali unyamaze maana hujui alotowa nini kimempelekea kufanya hivyo.
 
Kuna rafiki yangu aliambiwa na mchumba wake ukweli, kwamba aliwahi kuwa na mahusiano na mtu ambaye rafiki yangu anamfahamu -uchumba ulikufa siku hiyo! So wakati mwingine ni vyema kufunika kombe mwanaharamu apite.
 
Wapendwa wanaJF, nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara kuhusu kabla mtu hajaingia kwenye ndoa akaambiwa ukweli kwamba mwenzi wake alikuwa na tabia ambazo sio nzuri, kwa mfano umalaya, uhuni, ulevi, kutoa mimba, nk. Je, ni vizuri jamani au itamfanya awe mbali zaidi na mwenzi wake kuliko kujua undani wake? Kwa ujumla: Lipi bora, kujua au kutokujua juu ya tabia au mambo hayo kabla? Msaada tafadhali, msiniulize kama yamenikuta au la!

noma ni pale anapokuja kufanya kosa wakati mko kwenye ndoa linalofanana na mojawapo ya yale alokuwaambia alishafanya unaweza kumwangalia kwa macho mengine yaani kumbe aliniambia kuw alikuwa hivi na ajaacha, wengine huwa wanakiri kuwa wewe uliponiao ulifikiriaje, au uanamkuta bar kakumbatiwa na mwanaume au kamkumbatia bar medi na alishakuambia ndio iliyokuwa fani yake, ni ngumu bana wengine wanarudia makosa bila kujali maana si alishakuambia kuwa ndivyo alivyo?
 
ni vizuri kufanya uchunguzi kabla nakuyajua yote juu ya mwenzako na kuyapima na kuangalia kama unaweza kubebana nayo ili usingoje muingie kwenye ndao ndo ujeumchunguze uvunje ndoa inauma sana na inagharimu ila ukifanya maamuzi kabla ata cku moja kabla ya ndoa ni bora
 
H… Healthy, Hopeful, Humble, Humorous, Hummus eater

A … Appreciative, Approachable, Activist for global peace & justice

P … Peaceful, positive, …

P … Passionate, practical, …

Y… Youthful, yummy, …
 
H… Healthy, Hopeful, Humble, Humorous, Hummus eater

A … Appreciative, Approachable, Activist for global peace & justice

P … Peaceful, positive, …

P … Passionate, practical, …

Y… Youthful, yummy, …

Sipo! "to be honest" sijakuelewa nakuomba nifafanulie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom