Msaada kwenye tuta, huyu anaqualify Diploma?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,208
103,782
Wakuu wangu wa kazi, huyu dogo anaweza kupata japo Diploma ya Ualimu chuo cha Serikali?
Division IV-19
G/STUDIES-F PHYSICS-S CHEMISTRY-S BIOLOGY-F BAM-S
 
Mkubwa,naomb umpe Dogo pole,kwa utaratibu wa wizara ya Elimu inabidi muombaji JAPO awe na Principal 1 na Subsidiary. Kwa matokeo hayo hawezi pokewa Stashahada ya Ualimu,kama anaweza aombe CCP naona wametangaza nafasi.
 
Back
Top Bottom