mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 972
- 1,669
uku geita mmea ndo unatufanya tuyasake madini ipasavyo.pusha anauza kama bidhaa zingine sokoni.(nyarugusu,lwamgasa nk)
...."Ndumu" haimo katika kamusi.
Hao wa dar umewaonea tuuuMwenye Kujua Tafadhali, Nafanya Survey
Inawezekana kabisa,ndumu ni kitu cha kawaida kwa mwanaume tena na life la mtaan,watu weng sana mbona wanatumiaMmh.!
huo uchochezikuna tetesi eti mkuu siku za nyuma alikuwa anatumia ndumu.
Acha ujinga na ww acha kutumia tobo la chini kuwazaMleta mada punguza bangi na acha kutumia kichwa cha chini kugikiria
Yule wa K,,,,,,,,,, e,,,,,,,,,,,, n,,,,,,,,,,,,,,,, y,,,,,,,,,,,,,,,, akuna tetesi eti mkuu siku za nyuma alikuwa anatumia ndumu.
NadhaniNazani mazingira kwanza yafanana.pia historia ya zao lenyewe
Umetumia vigezo gani mpaka kufikia kusema Tarime,Mbeya,Kilimanjaro na Dar ndio mikoa inayoongoza kwa vijana kuvuta bangi?Mwenye Kujua Tafadhali, Nafanya Survey
Ngoja waje wenyewe,wacha mimi nikusanye vitu vyangu hapa kabisaaa..!!Ni wafuasi wa chadema hao
Mwenye Kujua Tafadhali, Nafanya Survey