Msaada kwa wazoefu wa window 10

singanojr

JF-Expert Member
Sep 24, 2020
1,456
8,139
Wakuu habari za saa hizi natumaini wote ni wazima

Nimepatwa na tatizo kidogo kwenye pc yangu ni kwamba nilichomoa harddisk nikaitumia kama external sasa wakati wa kuirudisha na kuwasha Pc inanipeleka kwenye system repair .. nimejaribu kufanya repair kwa kureset , kurun SFC , bootrec with CMD ,system restore imeshindikana kutokana na kukosa restore point , nimejaribu kuboot in safe mode pia imeshindikana kwani inanirudisha kwenye recovery mode .
Nimerun pia "chkdsk C ;/r pia

Nina document yangu ni muhimu na ipo kwenye desktop na inahitajika kesho

Shida yangu kubwa ni kuiwasha niweze pata hio DOC kwenye desktop kwani nikisema nipige window i will lose that file

NAOMBENI MSAADA WAJUVI WA WINDOWS
 
Kutakua kuna windows files ulizifuta au zime collapse kipindi unaitumia kama external, sasa si utumie kama external ku copy izo dox kwenye pc nyingine. Then uta install windows upya!
 
Hapo mkuu kuna files ulifuta... jaribu kutumia kama external af utafute izo documents zako kweny local disk C..
Pia pitia na website zingne uone unaweza solve vip..
 
Wakuu habari za saa hizi natumaini wote ni wazima .
Nimepatwa na tatizo kidogo kwenye pc yangu ni kwamba nilichomoa harddisk nikaitumia kama external sasa wakati wa kuirudisha na kuwasha Pc inanipeleka kwenye system repair .. nimejaribu kufanya repair kwa kureset , kurun SFC , bootrec with CMD ,system restore imeshindikana kutokana na kukosa restore point , nimejaribu kuboot in safe mode pia imeshindikana kwani inanirudisha kwenye recovery mode .
Nimerun pia "chkdsk C ;/r pia
Nina document yangu ni muhimu na ipo kwenye desktop na inahitajika kesho

Shida yangu kubwa ni kuiwasha niweze pata hio DOC kwenye desktop kwani nikisema nipige window i will lose that file

NAOMBENI MSAADA WAJUVI WA WINDOWS
Solution kama hujafanya disturbance basi iweke kwenye pc hiyo ambayo ulikuwa unaitumia ili iwe kama external kisha fanya data backup then baadaye piga window then restore files

Ukishaichomoa haiwezi kufanya kazi kwa sababu ya drivers za motherboad zimekosekana
 
Hapo mkuu kuna files ulifuta... jaribu kutumia kama external af utafute izo documents zako kweny local disk C..
Pia pitia na website zingne uone unaweza solve vip..
Shukran mkuu ,kinachonishinda ni jinsi ya kuaccess files za kwenye desktop kwa kutumia external .. nikipata maelekezo hapo utakuwa msaada mkubwa .. nimejitahidi kupitia kwenye web nimeshindwa kutatua tatizo
 
Kutakua kuna windows files ulizifuta au zime collapse kipindi unaitumia kama external, sasa si utumie kama external ku copy izo dox kwenye pc nyingine. Then uta install windows upya!
Docs zipo kwenye desktop mkuu nashindwa kuziaccess nikijua any means how nitashukuru .. Natanguliza Shukrani
 
Shukran mkuu ,kinachonishinda ni jinsi ya kuaccess files za kwenye desktop kwa kutumia external .. nikipata maelekezo hapo utakuwa msaada mkubwa .. nimejitahidi kupitia kwenye web nimeshindwa kutatua tatizo
Ingia local disk C kama huna partition ukichomeka external hapo ndio C ingia folder linaitwa user kisha utaona jina la pc ambalo uliandika mwenyewe ukiingia hapo utaona sasa my documents, pictures, video na mafolder mengine.
 
Solution kama hujafanya disturbance basi iweke kwenye pc hiyo ambayo ulikuwa unaitumia ili iwe kama external kisha fanya data backup then baadaye piga window then restore files

Ukishaichomoa haiwezi kufanya kazi kwa sababu ya drivers za motherboad zimekosekana
Msaada zaidi mkuu jinsi ya kufanya backups NB docs zinahitajika asubuhi kazini
 
Ingia local disk C kama huna partition ukichomeka external hapo ndio C ingia folder linaitwa user kisha utaona jina la pc ambalo uliandika mwenyewe ukiingia hapo utaona sasa my documents, pictures, video na mafolder mengine.
Shukrani mkuu ngoja nijaribu
 
Wakuu na mimi nipenyeze jambo langu kwenye huu uzi wa jamaa,

mimi natumia WINDOWS 10 sasa shida ipo kila emulator nayoweka niki_install WhatsApp kwa iyo emulator inagoma, sitaki ushauri wa whatsweb maana sina tambo mimi hapa nina kitochi na pc.
 
Wakuu na mimi nipenyeze jambo langu kwenye huu uzi wa jamaa,

mimi natumia WINDOWS 10 sasa shida ipo kila emulator nayoweka niki_install WhatsApp kwa iyo emulator inagoma, sitaki ushauri wa whatsweb maana sina tambo mimi hapa nina kitochi na pc.
Inagoma inasemaje? Umeweka emualtor gani?
 
Inagoma inasemaje? Umeweka emualtor gani?
nili_install youwave ikagoma wakati kabla sijaweka windows 10 nilikuwa natumia windows8 hiyo youwave nilikuwa natumia vizuri tu. Sasa hii windows 10 nimeshajaribu emulator zaidi ya tano lakini zote nashindwa kutumia whatsApp labda chief nichagulie itayokubali.
 
Wakuu na mimi nipenyeze jambo langu kwenye huu uzi wa jamaa,

mimi natumia WINDOWS 10 sasa shida ipo kila emulator nayoweka niki_install WhatsApp kwa iyo emulator inagoma, sitaki ushauri wa whatsweb maana sina tambo mimi hapa nina kitochi na pc.
Download blue stuck upate whatssap na application nyingine kutoka play store ya android
 
nili_install youwave ikagoma wakati kabla sijaweka windows 10 nilikuwa natumia windows8 hiyo youwave nilikuwa natumia vizuri tu. Sasa hii windows 10 nimeshajaribu emulator zaidi ya tano lakini zote nashindwa kutumia whatsApp labda chief nichagulie itayokubali.
Common ni bluestack na Nox player.
 
Wakuu habari za saa hizi natumaini wote ni wazima .
Nimepatwa na tatizo kidogo kwenye pc yangu ni kwamba nilichomoa harddisk nikaitumia kama external sasa wakati wa kuirudisha na kuwasha Pc inanipeleka kwenye system repair .. nimejaribu kufanya repair kwa kureset , kurun SFC , bootrec with CMD ,system restore imeshindikana kutokana na kukosa restore point , nimejaribu kuboot in safe mode pia imeshindikana kwani inanirudisha kwenye recovery mode .
Nimerun pia "chkdsk C ;/r pia
Nina document yangu ni muhimu na ipo kwenye desktop na inahitajika kesho

Shida yangu kubwa ni kuiwasha niweze pata hio DOC kwenye desktop kwani nikisema nipige window i will lose that file

NAOMBENI MSAADA WAJUVI WA WINDOWS
Chomeka kama external kisha fungua partition yenye window, ingia user, chagua jina uliloipa halafu desktop utaona hiyo document unayohitaji kisha utaweza kuihamishia kwenye location yoyote ya PC yako

Ukishindwa kabisa ni PM namba zako kesho asubuhi nikusaidia kwa Anydesk
 
next time...download ubuntu live, boot nayo from either flash or cd utaona data zako zote kwenye any partitions....with live image hufanyi any installation
 
Back
Top Bottom