mountana Member Sep 24, 2012 40 6 Oct 4, 2012 #1 msaada kwa hili la mkp kwa wanafunzi wanaoendelea ambao mwaka jana walikosa ndo wamepigwa chn au?
B Babu mchumi Member Jul 5, 2011 62 11 Oct 5, 2012 #2 nimesikia sikia wiki ijayo kuna majina yataaachiwa,ngoja tusikilizie tuone!!
mountana Member Sep 24, 2012 40 6 Oct 7, 2012 Thread starter #4 aya bwana wasije wakawa wamekula buku 30 za wa2 bure 2xubir 2one
K kehesa maro Member Oct 5, 2012 42 3 Oct 8, 2012 #5 nachojua hili suala nilisikia lazima majina yapelekwe vyuon kwa uhakiki ndio yatolewe,ila vyuo vimechelewa kulfanyiakaz
nachojua hili suala nilisikia lazima majina yapelekwe vyuon kwa uhakiki ndio yatolewe,ila vyuo vimechelewa kulfanyiakaz
C chalema06 Member Aug 12, 2012 29 8 Oct 8, 2012 #6 jaman hawa wana2zingua, ani cjui hata kama wata2pa hawa coz wapo kimyaa tuu hawa2p info yoyote.
Wi-Fi JF-Expert Member Aug 30, 2011 2,091 1,378 Oct 8, 2012 #7 mountana said: msaada kwa hili la mkp kwa wanafunzi wanaoendelea ambao mwaka jana walikosa ndo wamepigwa chn au? Click to expand... ukiwa huku JF andika herufi zote usomeke vizuri na watu wote, huenda mwenye kujua hajakuelewa unaulizia nini! ni mtazamo tu..
mountana said: msaada kwa hili la mkp kwa wanafunzi wanaoendelea ambao mwaka jana walikosa ndo wamepigwa chn au? Click to expand... ukiwa huku JF andika herufi zote usomeke vizuri na watu wote, huenda mwenye kujua hajakuelewa unaulizia nini! ni mtazamo tu..
paul kitereja JF-Expert Member Jun 15, 2012 260 45 Oct 9, 2012 #8 loan board ni wezi a.k.a mafisadi!!
Simolunda JF-Expert Member Sep 9, 2011 453 81 Oct 9, 2012 #9 Jaman tusubilie tuwe na uvumilivu kama tulivyo vumilia kuishi mwaka wa kwanza bila boom.wata leta tu haki ya mtu haipotei
Jaman tusubilie tuwe na uvumilivu kama tulivyo vumilia kuishi mwaka wa kwanza bila boom.wata leta tu haki ya mtu haipotei