Ulivyo kata tamaa mapema, mhhhhh.
Any way ungejaribu kuwacheki ili uwasikie wenyewe, zaidi ya hapo chuo cha kilimo ninacho kifahamu na kiko poa ni cha UYOLE-MBEYA.
Ulivyo kata tamaa mapema,
mhhhhh.
Any way ungejaribu kuwacheki ili uwasikie wenyewe, zaidi ya hapo chuo
cha kilimo ninacho kifahamu na kiko poa ni cha UYOLE-MBEYA.
jaman mnisaidie jinsi ya kujiunga na vyuo vya kilimo kama mati mtwara na mati ukiriguru kwani nia4 point 26 mwaka 2012 c ya phy na chem but masomo yote yanayobaki d
Jamani habari asubuhi wote?Ndugu zangu naomba kama kuna mtu anafahamu kuwa nafasi za kujiunga na chuo wizara ya kilimo na mifugo anijuze tafadhali sana nisaidieni kwa hlo jaman.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.