Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari wanaJF, nimeamua kutafuta msaada hapa kuhusu sheria za uhamiaji UK, kuna ndugu yangu alienda masomoni UK kama miaka 7 imepita na anafanya kazi huko, huku TZ aliacha mke na mtoto (16 years) kwa kua mke alikua muajiriwa lakini mama wa mtoto amefariki na jamaa alirudi kwa ajiri ya msiba. Baada ya mazishi wanandugu wakamuuliza kama ataondoka na mtoto jamaa anajibu sheria zinabana na kwakua ndugu wengi hawafahamu wanashindwa kuhoji. Sasa mtoto akibaki itabidi aende kijijini kwa bibi yake. Nimeamua kutafuta mawazo kuhusu hili suala. Je ni kweli sheria za UK ni ngumu kumchua mtoto kwenda kuishi nae?
AHSANTENI SANA WAKUU!
AHSANTENI SANA WAKUU!