msaada kuunganisha computer mbili pamoja

oxlade

JF-Expert Member
Jul 8, 2012
601
94
naomba mnielekeze jamani namna ya kuunganisha computer mbili pamoja, computer zangu iko jirani jirani na nataka nizitumie zote pamoja hata modem nitumie moja kwa pc zote 2, nifanyaje?
 
tengeneza cross over network cable,then install network and sharing baada ya hapo utaweza share internet nk
 
umeniacha hapo boss, ntaitengenezajehiyo cross over network cable
 
1.hakikisha computer zako zote zina connection(internet is more preffered) kwenye computer zako zote
2.install software ya tiemviewer kwenye computer zote(ni freeware software)--kumbuka kuchagua,for personal use(non-commercial)
3.kwa kutumia hizo generated passcodes you can access your computer from anywhere,,,,,,penye internet connection..
natumaini itakusaidia,,,,,,kama uta-experience shida,,,comment humuhumu kwenye hii thread nitajaribu kukusaidia zaidi
 
1.hakikisha computer zako zote zina connection(internet is more preffered) kwenye computer zako zote
2.install software ya tiemviewer kwenye computer zote(ni freeware software)--kumbuka kuchagua,for personal use(non-commercial)
3.kwa kutumia hizo generated passcodes you can access your computer from anywhere,,,,,,penye internet connection..
natumaini itakusaidia,,,,,,kama uta-experience shida,,,comment humuhumu kwenye hii thread nitajaribu kukusaidia zaidi

Lengo lake ni kusave resources hapo umeelezea jinsi ya ku-acess computer moja akiwa kwenye nyingine lakini yeye anataka azitumie zote mbili kama moja (network), modem moja itumike kwa pc zote 2

msaada....
 
tengeneza cross over network cable,then install network and sharing baada ya hapo utaweza share internet nk

umeniacha hapo boss, ntaitengenezajehiyo cross over network cable

Haya ndiyo nilishauri kabla ya kusaidia,tujue ufahamu wa mtu kuhusu jambo analotaka kujua.Na si lazima wote tujue,sometimes tushauri mtu atafute mtu aliye karibu naye anayejua amsaidie.Sasa tutamfundishaje kutengeneza cross over cable,anunue crimping tool,cutter na color coding tumfundishe,RJ45 nazenyewe akatafute.Ataelewa kweli?
 
umeniacha hapo boss, ntaitengenezajehiyo cross over network cable

Unahitaji ujuzi wa kutengeneza?

Kama sio nenda kwenye duka linalouza vifaa vya mawasiliano(ICT) waambie unahitaji ethernet cable cross-over
 
team viewer tayali nshainstall sasa nna modem moja ntatumiaje net kwenye hii nyingne?
nashukuru kwa msaada ndugu yangu
 
1.hakikisha computer zako zote zina connection(internet is more preffered) kwenye computer zako zote
2.install software ya tiemviewer kwenye computer zote(ni freeware software)--kumbuka kuchagua,for personal use(non-commercial)
3.kwa kutumia hizo generated passcodes you can access your computer from anywhere,,,,,,penye internet connection..
natumaini itakusaidia,,,,,,kama uta-experience shida,,,comment humuhumu kwenye hii thread nitajaribu kukusaidia zaidi
team viewer tayali nshainstall sasa nna modem moja ntatumiaje net kwenye hii nyingne?
nashukuru kwa msaada ndugu yangu
 







Ethernet Cable - Color Coding Diagram

The information listed here is to assist Network Administrators in the color coding of Ethernet cables. Please be aware that modifying Ethernet cables improperly may cause loss of network connectivity. Use this information at your own risk, and insure all connectors and cables are modified in accordance with standards. The Internet Centre and its affiliates cannot be held liable for the use of this information in whole or in part.
T-568A Straight-Through Ethernet Cable
ethcable568a.gif
The TIA/EIA 568-A standard which was ratified in 1995, was replaced by the TIA/EIA 568-B standard in 2002 and has been updated since. Both standards define the T-568A and T-568B pin-outs for using Unshielded Twisted Pair cable and RJ-45 connectors for Ethernet connectivity. The standards and pin-out specification appear to be related and interchangeable, but are not the same and should not be used interchangeably.
T-568B Straight-Through Ethernet Cable
ethcable568b.gif
Both the T-568A and the T-568B standard Straight-Through cables are used most often as patch cords for your Ethernet connections. If you require a cable to connect two Ethernet devices directly together without a hub or when you connect two hubs together, you will need to use a Crossover cable instead.
RJ-45 Crossover Ethernet Cable
ethcablerj45cr.gif
A good way of remembering how to wire a Crossover Ethernet cable is to wire one end using the T-568A standard and the other end using the T-568B standard. Another way of remembering the color coding is to simply switch the Green set of wires in place with the Orange set of wires. Specifically, switch the solid Green (G) with the solid Orange, and switch the green/white with the orange/white.
Ethernet Cable Instructions:


  1. [*]Pull the cable off the reel to the desired length and cut. If you are pulling cables through holes, its easier to attach the RJ-45 plugs after the cable is pulled. The total length of wire segments between a PC and a hub or between two PC's cannot exceed 100 Meters (328 feet) for 100BASE-TX and 300 Meters for 10BASE-T.
    [*]Start on one end and strip the cable jacket off (about 1") using a stripper or a knife. Be extra careful not to nick the wires, otherwise you will need to start over.
    [*]Spread, untwist the pairs, and arrange the wires in the order of the desired cable end. Flatten the end between your thumb and forefinger. Trim the ends of the wires so they are even with one another, leaving only 1/2" in wire length. If it is longer than 1/2" it will be out-of-spec and susceptible to crosstalk. Flatten and insure there are no spaces between wires.
    [*]Hold the RJ-45 plug with the clip facing down or away from you. Push the wires firmly into the plug. Inspect each wire is flat even at the front of the plug. Check the order of the wires. Double check again. Check that the jacket is fitted right against the stop of the plug. Carefully hold the wire and firmly crimp the RJ-45 with the crimper.
    [*]Check the color orientation, check that the crimped connection is not about to come apart, and check to see if the wires are flat against the front of the plug. If even one of these are incorrect, you will have to start over. Test the Ethernet cable.
Ethernet Cable Tips:


  • [*]A straight-thru cable has identical ends.
    [*]A crossover cable has different ends.
    [*]A straight-thru is used as a patch cord in Ethernet connections.
    [*]A crossover is used to connect two Ethernet devices without a hub or for connecting two hubs.
    [*]A crossover has one end with the Orange set of wires switched with the Green set.
    [*]Odd numbered pins are always striped, even numbered pins are always solid colored.
    [*]Looking at the RJ-45 with the clip facing away from you, Brown is always on the right, and pin 1 is on the left.
    [*]No more than 1/2" of the Ethernet cable should be untwisted otherwise it will be susceptible to crosstalk.
    [*]Do not deform, do not bend, do not stretch, do not staple, do not run parallel with power cables, and do not run Ethernet cables near noise inducing components.
Basic Theory:
ethcable03.gif

By looking at a T-568A UTP Ethernet straight-thru cable and an Ethernet crossover cable with a T-568B end, we see that the TX (transmitter) pins are connected to the corresponding RX (receiver) pins, plus to plus and minus to minus. You can also see that both the blue and brown wire pairs on pins 4, 5, 7, and 8 are not used in either standard. What you may not realize is that, these same pins 4, 5, 7, and 8 are not used or required in 100BASE-TX as well. So why bother using these wires, well for one thing its simply easier to make a connection with all the wires grouped together. Otherwise you'll be spending time trying to fit those tiny little wires into each of the corresponding holes in the RJ-45 connector.


[ Back ]

[h=3]Webmail Login[/h]
E-Mail


Password














[h=3]Spam Quarantine Login[/h]


[h=3]Search our page[/h]




[h=3]Partners[/h]







The Internet Centre, Inc - Edmonton, Alberta, Canada​
 
mi naona maelezo yako hayajitosheleza ni nini hasa unachokitaka.eleza nia
 
team viewer tayali nshainstall sasa nna modem moja ntatumiaje net kwenye hii nyingne?
nashukuru kwa msaada ndugu yangu
hapo kiboko yaani hicho kimodem cha e173 hakitaweza, mpaka upate link katika LAN
9ambacho kazi yake ni kusambaza haya mawasiliano ya ndani (Local Area Network) ambacho ni kifaa kingine unachokuja kukifunga ili kiweze kukupa link yako wewe na provider atakeyekuletea Intenet kutoka website,
kuna TTCL, UCC, rahacom na wengineo kwa hiyo kwa LAN ya kutumia modem ntakupelelezea nikuhabarishe
 
team viewer tayali nshainstall sasa nna modem moja ntatumiaje net kwenye hii nyingne?
nashukuru kwa msaada ndugu yangu
Kwa jinsi ulivyoomba msaada team viewer hauihitaji kaka.Team viewer inatumika computer zikiwa haziko sehemu moja na ni over the internet na kila computer inapata internet from a different source.
 
kama pc yako inatumia windows 7 tafuta software inaitwa connectify or virtual wifi router. Ukishaweka hiyo itakurusu kutumia pc yako as wifi hotspot ambapo unaweza share files and internet connection.
 
mimi nilivyokufahamu wewe unahitaji kutumia modem moja kupata internet kwenye computer zaidi ya moja kama ndo hivyo njia rahisi ni kuhakikisha computer zako zote zinakubali wifi kisha tia software inayoitwa Connectify kwenye computer yenye modem fuata maalezo ya software link ya hiyo software ni hii Your Hotspot, Your Way - Connectify
 
me najua kulink computer mbili na zaidi kwa kutumia modem moja ni hivi mfano me natumia ubuntu ni rahisi sana kuliko kwenye windows
inakubidi computer yako pamoja na hizo zengine ziwe zina support wireless connection the unacreate access point kwa kwenda mpaka network alaf create a new wireless network then kama utapenda na [assowrd utaweka ila nakushauru uchague none the create
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom