kijana wa wahovyo
Member
- Oct 10, 2022
- 25
- 22
Habari zenu,
Wiki tatu zilizopita niliibiwa simu yangu aina ya Vivo. Nimefata procedures zote polisi lakini danadana zimekuwa nyingi mpaka leo hii pia nimejaribu kwa kampuni husika nao vilevile.
So nimekuja hapa kuomba msaada wenu kwa anaeweza kunisaidia kuipata simu yangu ama kunipa mbinu zengine itakuwa vizuri pia. Nina documents zote kuhusu simu iliyoibiwa.
Natanguliza shukrani.
Wiki tatu zilizopita niliibiwa simu yangu aina ya Vivo. Nimefata procedures zote polisi lakini danadana zimekuwa nyingi mpaka leo hii pia nimejaribu kwa kampuni husika nao vilevile.
So nimekuja hapa kuomba msaada wenu kwa anaeweza kunisaidia kuipata simu yangu ama kunipa mbinu zengine itakuwa vizuri pia. Nina documents zote kuhusu simu iliyoibiwa.
Natanguliza shukrani.