nime-format hard disk ya laptop (40gb) yangu na nilisahau picha na documents muhimu sana. Nawezaje kuvirudisha? Sijaweka kitu kingine ktk hiyo hdd. Saidia ndugu.
Njia rahisi ni kuifanya hiyo har disk external na kuistall easy recover software kwenye PC nyingine.Iwapo utaweka windows tena kwenye hiyo harddisk inaweza isikurudishie data zako tena.
Easy recover inafaa sana
HIYO UNAWEZA KURECOVERY YOTE.ntakuwepo Dar next week kama upo Dar just PM me ntakupa Easy recover CD na maelekezo ya jinsi ya kufanya au tutafanya wote.pole sanaDah! Natia huruma sana, nimeformat xternal hdd yangu iliyokuwa na data kibao waungwana ila nimeweka vitu kidogo. Naomba kufahamishwa kama kuna uwezekano wa kufanya recovery na kupata data zangu za mwanzo. Natanguliza shukrani wakuu