Ni ugently inshu brother
Kama ni kufanya application ya polisi weka namba tu ambatanishaHabarini za majukumu wakuu..ninayo namba ya NIDA lakini sijafanikiwa kupata kitambulisho hadi sasa..naomba kwa mwenye ujuzi wakupata soft copy anisaidiea
Mkuu nione pm nitakusaidiaHabarini za majukumu wakuu..ninayo namba ya NIDA lakini sijafanikiwa kupata kitambulisho hadi sasa..naomba kwa mwenye ujuzi wakupata soft copy anisaidiea
Pm kumefungwa ndugu, mie Pia Nina shida mfanano tupe muongozo tafadhali.Mkuu nione pm nitakusaidia
Ivi utaratibu wa kupata namba ni upi?NIDA walisitisha kutoa ONLINE COPY .
Kwa sasa wanatoa namba tu
Uhakika NIDA ukienda na 50,000+ dk 5 nyingi unarudi na kitambulisho nyumbaniUkiwa na connection au mkono mrefu hardcopy unapata chap tu, kuna mdiaspora mwezi huu alikuja Tz kapata kitambulisho chake fresh kabisa
KWA YEYOTE MWENYE HUITAJI WA KITAMBULISHO CHA NIDA ANICHEKI WHTSP 0687872141 KIGEZO UWE NA NAMBA YA NIDA TUUhakika NIDA ukienda na 50,000+ dk 5 nyingi unarudi na kitambulisho nyumbani