Uncle Livege
Member
- Mar 14, 2019
- 13
- 49
nimechukua simu ya mkopo nmeshindwa kulipia nataka kuendelea kutumia msaada tafadhari
Wapata faida gani kuandika haya yote?Unataka kuolewa mkuu!
Kuna mabasha watakulipia.
Simu gani inauzwa hivoHivi kwa akili za kawaida unawezaje kwenda kukopa simu alfu kila siku ulipe shilingi elf 2000k sawa na shilingi laki 700,,000 kwa mwaka
Kasimu Cha laki 150k unaenda kukopa kwa shilingi 720,000 kwa mwaka akili hzo
Lzm utaenda kulala kwa mabwan takribani 4 ili uweze kulipia
ungekuwa mwanza ningekusaidia..nimechukua simu ya mkopo nmeshindwa kulipia nataka kuendelea kutumia msaada tafadhari
Plus kianzio Cha laki moja inakuwa 820,000Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kwenda kukopa simu alfu kila siku ulipe shilingi elf 2000k sawa na shilingi laki 700,,000 kwa mwaka
Kasimu Cha laki 150k unaenda kukopa kwa shilingi 720,000 kwa mwaka akili hzo
Lzm utaenda kulala kwa mabwan takribani 4 ili uweze kulipia
Nimecheka kama mwehuUnataka kuolewa mkuu!
Kuna mabasha watakulipia.
Wipe data kwa kutumia miracle thunder (Tofauti na hapo haikubali) then edit IMEI (Chimera tool will do the trick) weka ya simu nyingine unayotumia then, install new ROM.nimechukua simu ya mkopo nmeshindwa kulipia nataka kuendelea kutumia msaada tafadhari
Huyo akienda Mombasa wanamlipia kila kitu anapenda mtelemkoUnataka kuolewa mkuu!
Kuna mabasha watakulipia.
mnyama nipo mwanza nashida kuondoa simu ya mkopoungekuwa mwanza ningekusaidia..
Kuwakopa watanzania ni rísk kubwa sana ndio maana wanaweka riba kubwa kwasababu wanajua kuna watu kama hawa ili wafidie watu watakaokimnia kama jamaaHivi kwa akili za kawaida unawezaje kwenda kukopa simu alfu kila siku ulipe shilingi elf 2000k sawa na shilingi laki 700,,000 kwa mwaka
Kasimu Cha laki 150k unaenda kukopa kwa shilingi 720,000 kwa mwaka akili hzo
Lzm utaenda kulala kwa mabwan takribani 4 ili uweze kulipia