Msaada kuondoa kulipa simu ya mkopo

Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kwenda kukopa simu alfu kila siku ulipe shilingi elf 2000k sawa na shilingi laki 700,,000 kwa mwaka

Kasimu Cha laki 150k unaenda kukopa kwa shilingi 720,000 kwa mwaka akili hzo

Lzm utaenda kulala kwa mabwan takribani 4 ili uweze kulipia
 
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kwenda kukopa simu alfu kila siku ulipe shilingi elf 2000k sawa na shilingi laki 700,,000 kwa mwaka

Kasimu Cha laki 150k unaenda kukopa kwa shilingi 720,000 kwa mwaka akili hzo

Lzm utaenda kulala kwa mabwan takribani 4 ili uweze kulipia
Simu gani inauzwa hivo
 
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kwenda kukopa simu alfu kila siku ulipe shilingi elf 2000k sawa na shilingi laki 700,,000 kwa mwaka

Kasimu Cha laki 150k unaenda kukopa kwa shilingi 720,000 kwa mwaka akili hzo

Lzm utaenda kulala kwa mabwan takribani 4 ili uweze kulipia
Plus kianzio Cha laki moja inakuwa 820,000
 
nimechukua simu ya mkopo nmeshindwa kulipia nataka kuendelea kutumia msaada tafadhari
Wipe data kwa kutumia miracle thunder (Tofauti na hapo haikubali) then edit IMEI (Chimera tool will do the trick) weka ya simu nyingine unayotumia then, install new ROM.
NB: This is for educational purposes only, mi sihusiki kwa uhalifu wowote utakaofanyika.
 
Hivi kwa akili za kawaida unawezaje kwenda kukopa simu alfu kila siku ulipe shilingi elf 2000k sawa na shilingi laki 700,,000 kwa mwaka

Kasimu Cha laki 150k unaenda kukopa kwa shilingi 720,000 kwa mwaka akili hzo

Lzm utaenda kulala kwa mabwan takribani 4 ili uweze kulipia
Kuwakopa watanzania ni rísk kubwa sana ndio maana wanaweka riba kubwa kwasababu wanajua kuna watu kama hawa ili wafidie watu watakaokimnia kama jamaa
 
Back
Top Bottom