Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 448
- 799
Habarini za Asubuhi wana JF
Niende direct kwenye jambo
Nilichukua simu ya mkopo ila ndani ya mwezi ilipotea (niliibiwa ) mahali, tar 24.2.2024). Ile simu kwa wakati huo wote kupitia google find my device ilikuwa inaonekana kwa dkk kama 30 hv kisha ikazimwa (wakatoa line, ikwa offline ndio mwisho) nikareport kampuni ya mkopo wakanielekeza nikachukue loss report nikaenda polisi wakanipatia loss na RB kisha baada ya hapo kama kawaida elf 30 ya kuanzia nkatoa ila huu mwezi wa 2 sijapigiwa simu.
Application ya wakopeshaji nikiingia naiona simu last seen ni tar 23 juzi tu hapa. Nikawasaliana na mkopeshaji akajibu hawezi kuitafuta ni chini ya polisi na polisi wakanielekeza nirudi kwa mkopeshaji (kampuni iliyonikopesha). Wadau hivi kuna taratibu gani za kuipata hii simu. Box la simu lipo na ilikopotelea napoamini bado ipo ni maeneo ya goba, DSM
Niende direct kwenye jambo
Nilichukua simu ya mkopo ila ndani ya mwezi ilipotea (niliibiwa ) mahali, tar 24.2.2024). Ile simu kwa wakati huo wote kupitia google find my device ilikuwa inaonekana kwa dkk kama 30 hv kisha ikazimwa (wakatoa line, ikwa offline ndio mwisho) nikareport kampuni ya mkopo wakanielekeza nikachukue loss report nikaenda polisi wakanipatia loss na RB kisha baada ya hapo kama kawaida elf 30 ya kuanzia nkatoa ila huu mwezi wa 2 sijapigiwa simu.
Application ya wakopeshaji nikiingia naiona simu last seen ni tar 23 juzi tu hapa. Nikawasaliana na mkopeshaji akajibu hawezi kuitafuta ni chini ya polisi na polisi wakanielekeza nirudi kwa mkopeshaji (kampuni iliyonikopesha). Wadau hivi kuna taratibu gani za kuipata hii simu. Box la simu lipo na ilikopotelea napoamini bado ipo ni maeneo ya goba, DSM