Long time no see
Member
- Sep 1, 2012
- 13
- 0
Samahani wa ungwana udom walisema katikati ya wiki hii watatoa majina yaliobaki je?kunayeyote ambaye ana update yeyote?
tayari mwenyewe 1st tym ckuona k2 lakni jana jna langu nililiona na admision 4m nimepata
kweli dom wana upload haya majina manake kitambo kweli website yao haifunguki mpaka saiv, mi mwenyewe ni miongoni mwa wale ambao na hawajapata admission letter nina subiri kwa hamu