new generation
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 814
- 1,629
Sawa mkuu . understoodHizi ni chombeza ndogo ndogo za kutaniana, wala usiwe na shida. Changamoto anayoulizia naijua sana na hayo ndiyo maisha yangu.
Sawa mkuu . understoodHizi ni chombeza ndogo ndogo za kutaniana, wala usiwe na shida. Changamoto anayoulizia naijua sana na hayo ndiyo maisha yangu.
Aseme Ni Passo muanze kumkebehi mkuu.Tatizo hataki kusema hicho kibakuli Ni kipi
Uko nondo sana mdauPole sana...ulaji wa mafuta wa Gari upo very subjective to so many factors..
1. Ukanyagaji wa gas pedal yako
2. Barabara upitayo ni mwinuko au tambarale
3. speed unayotembea..mfano speed below 70 Gari inakua inefficient na speed above 120 Gari inakua inefficient (but hii ni kwa gari zenye traditional automatic gear box kwakua gear zake ni chache)
4. Kuna issue ya plugs na quality yake
5. Kuna uzima wa engine yaan level of compression katika kila cylinder...kama engine ina compression ya chini basi gari itakula mafuta because it will be working harder to power wheel.. vitu vinavoweza fanya compression iwe chini ni(kutokaza plugs, ring kuchoka, valve seals kuchoka, exhaust pipe kupasuka au kuweka exhaust pipe/muffler kubwa...vvti solenoid kutokua nzima ipasavo.
6. gearbox isipo kua na afya njema nayo inaweza leta shida ya fuel consumption (hapa ni kutokana na slippage mdani ya gear box...hii inawezs sababishwa na matumizi ya non recommended transmission fluid, or kuchoka kwa transmission fluid or clutches za transmission system kuchoka)
7. Kingine kinachoweza fanya Gari ikunywe mafuta sana na mchakato mzima wa combustion process kutokua kwa level inayotakiwa.. mfano hewa kua ndogo kutokana na air-cleaner kua chafu sana, au mass air flow sensor kua chafu na kushindwa ku pick data ya hewa inayopita kwenye throttle body hivo kupeleka wrong signal to ECU nakufanya air-fuel mixture ratio kutokua vizuri so gari kuanza kula mafuta mengi. Also since combustion process ni closed loop system basi pia oxygen sensor which provide details/feedback on effectiveness ya whole combustion process inaweza kua defective na kutoa signal zisizo sahihi na ku trigger ECU iruhusu injectors zimwage maguta mengi kwenye combustion chamber..pia check fuel injector zako kama zipo sawa na hazina any leakage
8. Kingine angalia tire pressure na uzito unaobeba kwenye gari unnecessarily...
9. Uwekaji wa matairi makubwa ambayo si recommended na manufacturer.
10. Kama Gari ina ac system check kama unapowasha ac je compressor inapata muda wa ku circle on and off? Kama haifanyi hivo basi lazima ikinyooshe..pia ac yako ni original iliyokuja na Gari au ni hizi za ku modify hapa Tanzania kwa kuweka compressor ambayo haikuja na Gari...mfano kama vitz inayokuja na compressor ya umeme(variable displacement compressor) unatoa unaweka compressor manual(fixed displacement compressor) hapa napo ni tatizo kwa modern cars...au system yako ya Ac umejaza gasi hivi karibuni? Na wakati wanajaza gas waliweka kwa kuzingatia weight ya refrigerant recommended for that specific car of yours or ndo ule ujazaji wa gas kwa kuangalia ubaridi wa return pipe na wa mwagia maji condenser basi mambo yakawa fresh,? Ni hivi gas ya ac isipo jazwa kwa kufuata weight basi ujue wakati wa jua kari gari itakutesa ukiwasha ac kwakua wakati wa joto kali gas u expand na kutengeneza pressure kubwa sana kwenye ac system na engine inakua inazumia nguvu kubwa sana kuzungusha compressor kwakua pressure imekua kubwa na fan ya ac utasikia inapiga kelele nyingi sana kupambana na ile pressure kwakua pressure ikiwa kubwa na joto la ac kwenye condenser linakua kubwa sana..so heavy compressor inasababisha engine ikule mafuta mengi.
Pole sana...ulaji wa mafuta wa Gari upo very subjective to so many factors..
1. Ukanyagaji wa gas pedal yako
2. Barabara upitayo ni mwinuko au tambarale
3. speed unayotembea..mfano speed below 70 Gari inakua inefficient na speed above 120 Gari inakua inefficient (but hii ni kwa gari zenye traditional automatic gear box kwakua gear zake ni chache)
4. Kuna issue ya plugs na quality yake
5. Kuna uzima wa engine yaan level of compression katika kila cylinder...kama engine ina compression ya chini basi gari itakula mafuta because it will be working harder to power wheel.. vitu vinavoweza fanya compression iwe chini ni(kutokaza plugs, ring kuchoka, valve seals kuchoka, exhaust pipe kupasuka au kuweka exhaust pipe/muffler kubwa...vvti solenoid kutokua nzima ipasavo.
6. gearbox isipo kua na afya njema nayo inaweza leta shida ya fuel consumption (hapa ni kutokana na slippage mdani ya gear box...hii inawezs sababishwa na matumizi ya non recommended transmission fluid, or kuchoka kwa transmission fluid or clutches za transmission system kuchoka)
7. Kingine kinachoweza fanya Gari ikunywe mafuta sana na mchakato mzima wa combustion process kutokua kwa level inayotakiwa.. mfano hewa kua ndogo kutokana na air-cleaner kua chafu sana, au mass air flow sensor kua chafu na kushindwa ku pick data ya hewa inayopita kwenye throttle body hivo kupeleka wrong signal to ECU nakufanya air-fuel mixture ratio kutokua vizuri so gari kuanza kula mafuta mengi. Also since combustion process ni closed loop system basi pia oxygen sensor which provide details/feedback on effectiveness ya whole combustion process inaweza kua defective na kutoa signal zisizo sahihi na ku trigger ECU iruhusu injectors zimwage maguta mengi kwenye combustion chamber..pia check fuel injector zako kama zipo sawa na hazina any leakage
8. Kingine angalia tire pressure na uzito unaobeba kwenye gari unnecessarily...
9. Uwekaji wa matairi makubwa ambayo si recommended na manufacturer.
10. Kama Gari ina ac system check kama unapowasha ac je compressor inapata muda wa ku circle on and off? Kama haifanyi hivo basi lazima ikinyooshe..pia ac yako ni original iliyokuja na Gari au ni hizi za ku modify hapa Tanzania kwa kuweka compressor ambayo haikuja na Gari...mfano kama vitz inayokuja na compressor ya umeme(variable displacement compressor) unatoa unaweka compressor manual(fixed displacement compressor) hapa napo ni tatizo kwa modern cars...au system yako ya Ac umejaza gasi hivi karibuni? Na wakati wanajaza gas waliweka kwa kuzingatia weight ya refrigerant recommended for that specific car of yours or ndo ule ujazaji wa gas kwa kuangalia ubaridi wa return pipe na wa mwagia maji condenser basi mambo yakawa fresh,? Ni hivi gas ya ac isipo jazwa kwa kufuata weight basi ujue wakati wa jua kari gari itakutesa ukiwasha ac kwakua wakati wa joto kali gas u expand na kutengeneza pressure kubwa sana kwenye ac system na engine inakua inazumia nguvu kubwa sana kuzungusha compressor kwakua pressure imekua kubwa na fan ya ac utasikia inapiga kelele nyingi sana kupambana na ile pressure kwakua pressure ikiwa kubwa na joto la ac kwenye condenser linakua kubwa sana..so heavy compressor inasababisha engine ikule mafuta mengi.
duh kuna binadamu wanadharau utafikiri hawatakufa,,,hatari sana..Kwa kifupi ungesema tu kuwa ufukara na umiliki wa gari hayatangamani.
Hapana mkuu Ni kwa wema tuAseme Ni Passo muanze kumkebehi mkuu.
Na hizo tairi kwakua zina affect car tire geometry, basi zinasababisha kufa kwa bearings na drive axle (cv joints) prematurelyNakazia namba 9 wenye subaru,Ruminion na altezza
Unakuta tairi kubwa gari inaelea juu juu
Naomba unielekeze ofisi yako nije unishauri zaidiPole sana...ulaji wa mafuta wa Gari upo very subjective to so many factors..
1. Ukanyagaji wa gas pedal yako
2. Barabara upitayo ni mwinuko au tambarale
3. speed unayotembea..mfano speed below 70 Gari inakua inefficient na speed above 120 Gari inakua inefficient (but hii ni kwa gari zenye traditional automatic gear box kwakua gear zake ni chache)
4. Kuna issue ya plugs na quality yake
5. Kuna uzima wa engine yaan level of compression katika kila cylinder...kama engine ina compression ya chini basi gari itakula mafuta because it will be working harder to power wheel.. vitu vinavoweza fanya compression iwe chini ni(kutokaza plugs, ring kuchoka, valve seals kuchoka, exhaust pipe kupasuka au kuweka exhaust pipe/muffler kubwa...vvti solenoid kutokua nzima ipasavo.
6. gearbox isipo kua na afya njema nayo inaweza leta shida ya fuel consumption (hapa ni kutokana na slippage mdani ya gear box...hii inawezs sababishwa na matumizi ya non recommended transmission fluid, or kuchoka kwa transmission fluid or clutches za transmission system kuchoka)
7. Kingine kinachoweza fanya Gari ikunywe mafuta sana na mchakato mzima wa combustion process kutokua kwa level inayotakiwa.. mfano hewa kua ndogo kutokana na air-cleaner kua chafu sana, au mass air flow sensor kua chafu na kushindwa ku pick data ya hewa inayopita kwenye throttle body hivo kupeleka wrong signal to ECU nakufanya air-fuel mixture ratio kutokua vizuri so gari kuanza kula mafuta mengi. Also since combustion process ni closed loop system basi pia oxygen sensor which provide details/feedback on effectiveness ya whole combustion process inaweza kua defective na kutoa signal zisizo sahihi na ku trigger ECU iruhusu injectors zimwage maguta mengi kwenye combustion chamber..pia check fuel injector zako kama zipo sawa na hazina any leakage
8. Kingine angalia tire pressure na uzito unaobeba kwenye gari unnecessarily...
9. Uwekaji wa matairi makubwa ambayo si recommended na manufacturer.
10. Kama Gari ina ac system check kama unapowasha ac je compressor inapata muda wa ku circle on and off? Kama haifanyi hivo basi lazima ikinyooshe..pia ac yako ni original iliyokuja na Gari au ni hizi za ku modify hapa Tanzania kwa kuweka compressor ambayo haikuja na Gari...mfano kama vitz inayokuja na compressor ya umeme(variable displacement compressor) unatoa unaweka compressor manual(fixed displacement compressor) hapa napo ni tatizo kwa modern cars...au system yako ya Ac umejaza gasi hivi karibuni? Na wakati wanajaza gas waliweka kwa kuzingatia weight ya refrigerant recommended for that specific car of yours or ndo ule ujazaji wa gas kwa kuangalia ubaridi wa return pipe na wa mwagia maji condenser basi mambo yakawa fresh,? Ni hivi gas ya ac isipo jazwa kwa kufuata weight basi ujue wakati wa jua kari gari itakutesa ukiwasha ac kwakua wakati wa joto kali gas u expand na kutengeneza pressure kubwa sana kwenye ac system na engine inakua inazumia nguvu kubwa sana kuzungusha compressor kwakua pressure imekua kubwa na fan ya ac utasikia inapiga kelele nyingi sana kupambana na ile pressure kwakua pressure ikiwa kubwa na joto la ac kwenye condenser linakua kubwa sana..so heavy compressor inasababisha engine ikule mafuta mengi.
Is there any modification uliyofanya kwa gari yako including muffler? What is you driving behavior? Tafuta mtu mwenye mashine pima kitu kinaitwa fuel trim angalia kama ipo within spec...then check wave formation ya oxygen sensor baada ya hapo utajua shida ni nini.Altezza ya 3sge mkuu ni sahihi kula wese lita 1 kwa km 5 au ina shida?
Shukran mkuuIs there any modification uliyofanya kwa gari yako including muffler? What is you driving behavior? Tafuta mtu mwenye mashine pima kitu kinaitwa fuel trim angalia kama ipo within spec...then check wave formation ya oxygen sensor baada ya hapo utajua shida ni nini.
Check me through +255689783777.. ushauri ni bure kabisa no charge.
Baba hii gari inatumia mafuta ungetaka isitumie mafuta tafuta Baiskeli jokesWadau napenda kujua kuhusu hii gari yangu cc 990 kuhusu fuel consuptiom nimeweka mafuta ya 20k nikatembea nayo kwa umbali wa km 55.1 mafuta yakakata kabisa.
Ningependa kujua ni pia kuwa odometers zinadanganya au je pia kwa hiyo distance ni sahihi au kuna shida. Mafuta ya 20 ni sawa na litre 7.1.
Msaada tafadhali
Ile gari ilipigwa masega mkuuIs there any modification uliyofanya kwa gari yako including muffler? What is you driving behavior? Tafuta mtu mwenye mashine pima kitu kinaitwa fuel trim angalia kama ipo within spec...then check wave formation ya oxygen sensor baada ya hapo utajua shida ni nini.