Msaada kuhusu ulaji wa mafuta wa gari yangu

Pole sana...ulaji wa mafuta wa Gari upo very subjective to so many factors..

1. Ukanyagaji wa gas pedal yako
2. Barabara upitayo ni mwinuko au tambarale
3. speed unayotembea..mfano speed below 70 Gari inakua inefficient na speed above 120 Gari inakua inefficient (but hii ni kwa gari zenye traditional automatic gear box kwakua gear zake ni chache)
4. Kuna issue ya plugs na quality yake
5. Kuna uzima wa engine yaan level of compression katika kila cylinder...kama engine ina compression ya chini basi gari itakula mafuta because it will be working harder to power wheel.. vitu vinavoweza fanya compression iwe chini ni(kutokaza plugs, ring kuchoka, valve seals kuchoka, exhaust pipe kupasuka au kuweka exhaust pipe/muffler kubwa...vvti solenoid kutokua nzima ipasavo.
6. gearbox isipo kua na afya njema nayo inaweza leta shida ya fuel consumption (hapa ni kutokana na slippage mdani ya gear box...hii inawezs sababishwa na matumizi ya non recommended transmission fluid, or kuchoka kwa transmission fluid or clutches za transmission system kuchoka)
7. Kingine kinachoweza fanya Gari ikunywe mafuta sana na mchakato mzima wa combustion process kutokua kwa level inayotakiwa.. mfano hewa kua ndogo kutokana na air-cleaner kua chafu sana, au mass air flow sensor kua chafu na kushindwa ku pick data ya hewa inayopita kwenye throttle body hivo kupeleka wrong signal to ECU nakufanya air-fuel mixture ratio kutokua vizuri so gari kuanza kula mafuta mengi. Also since combustion process ni closed loop system basi pia oxygen sensor which provide details/feedback on effectiveness ya whole combustion process inaweza kua defective na kutoa signal zisizo sahihi na ku trigger ECU iruhusu injectors zimwage maguta mengi kwenye combustion chamber..pia check fuel injector zako kama zipo sawa na hazina any leakage

8. Kingine angalia tire pressure na uzito unaobeba kwenye gari unnecessarily...

9. Uwekaji wa matairi makubwa ambayo si recommended na manufacturer.

10. Kama Gari ina ac system check kama unapowasha ac je compressor inapata muda wa ku circle on and off? Kama haifanyi hivo basi lazima ikinyooshe..pia ac yako ni original iliyokuja na Gari au ni hizi za ku modify hapa Tanzania kwa kuweka compressor ambayo haikuja na Gari...mfano kama vitz inayokuja na compressor ya umeme(variable displacement compressor) unatoa unaweka compressor manual(fixed displacement compressor) hapa napo ni tatizo kwa modern cars...au system yako ya Ac umejaza gasi hivi karibuni? Na wakati wanajaza gas waliweka kwa kuzingatia weight ya refrigerant recommended for that specific car of yours or ndo ule ujazaji wa gas kwa kuangalia ubaridi wa return pipe na wa mwagia maji condenser basi mambo yakawa fresh,? Ni hivi gas ya ac isipo jazwa kwa kufuata weight basi ujue wakati wa jua kari gari itakutesa ukiwasha ac kwakua wakati wa joto kali gas u expand na kutengeneza pressure kubwa sana kwenye ac system na engine inakua inazumia nguvu kubwa sana kuzungusha compressor kwakua pressure imekua kubwa na fan ya ac utasikia inapiga kelele nyingi sana kupambana na ile pressure kwakua pressure ikiwa kubwa na joto la ac kwenye condenser linakua kubwa sana..so heavy compressor inasababisha engine ikule mafuta mengi.
Uko nondo sana mdau
 
Pole sana...ulaji wa mafuta wa Gari upo very subjective to so many factors..

1. Ukanyagaji wa gas pedal yako
2. Barabara upitayo ni mwinuko au tambarale
3. speed unayotembea..mfano speed below 70 Gari inakua inefficient na speed above 120 Gari inakua inefficient (but hii ni kwa gari zenye traditional automatic gear box kwakua gear zake ni chache)
4. Kuna issue ya plugs na quality yake
5. Kuna uzima wa engine yaan level of compression katika kila cylinder...kama engine ina compression ya chini basi gari itakula mafuta because it will be working harder to power wheel.. vitu vinavoweza fanya compression iwe chini ni(kutokaza plugs, ring kuchoka, valve seals kuchoka, exhaust pipe kupasuka au kuweka exhaust pipe/muffler kubwa...vvti solenoid kutokua nzima ipasavo.
6. gearbox isipo kua na afya njema nayo inaweza leta shida ya fuel consumption (hapa ni kutokana na slippage mdani ya gear box...hii inawezs sababishwa na matumizi ya non recommended transmission fluid, or kuchoka kwa transmission fluid or clutches za transmission system kuchoka)
7. Kingine kinachoweza fanya Gari ikunywe mafuta sana na mchakato mzima wa combustion process kutokua kwa level inayotakiwa.. mfano hewa kua ndogo kutokana na air-cleaner kua chafu sana, au mass air flow sensor kua chafu na kushindwa ku pick data ya hewa inayopita kwenye throttle body hivo kupeleka wrong signal to ECU nakufanya air-fuel mixture ratio kutokua vizuri so gari kuanza kula mafuta mengi. Also since combustion process ni closed loop system basi pia oxygen sensor which provide details/feedback on effectiveness ya whole combustion process inaweza kua defective na kutoa signal zisizo sahihi na ku trigger ECU iruhusu injectors zimwage maguta mengi kwenye combustion chamber..pia check fuel injector zako kama zipo sawa na hazina any leakage

8. Kingine angalia tire pressure na uzito unaobeba kwenye gari unnecessarily...

9. Uwekaji wa matairi makubwa ambayo si recommended na manufacturer.

10. Kama Gari ina ac system check kama unapowasha ac je compressor inapata muda wa ku circle on and off? Kama haifanyi hivo basi lazima ikinyooshe..pia ac yako ni original iliyokuja na Gari au ni hizi za ku modify hapa Tanzania kwa kuweka compressor ambayo haikuja na Gari...mfano kama vitz inayokuja na compressor ya umeme(variable displacement compressor) unatoa unaweka compressor manual(fixed displacement compressor) hapa napo ni tatizo kwa modern cars...au system yako ya Ac umejaza gasi hivi karibuni? Na wakati wanajaza gas waliweka kwa kuzingatia weight ya refrigerant recommended for that specific car of yours or ndo ule ujazaji wa gas kwa kuangalia ubaridi wa return pipe na wa mwagia maji condenser basi mambo yakawa fresh,? Ni hivi gas ya ac isipo jazwa kwa kufuata weight basi ujue wakati wa jua kari gari itakutesa ukiwasha ac kwakua wakati wa joto kali gas u expand na kutengeneza pressure kubwa sana kwenye ac system na engine inakua inazumia nguvu kubwa sana kuzungusha compressor kwakua pressure imekua kubwa na fan ya ac utasikia inapiga kelele nyingi sana kupambana na ile pressure kwakua pressure ikiwa kubwa na joto la ac kwenye condenser linakua kubwa sana..so heavy compressor inasababisha engine ikule mafuta mengi.

Nakazia namba 9 wenye subaru,Ruminion na altezza

Unakuta tairi kubwa gari inaelea juu juu
 
Pole sana...ulaji wa mafuta wa Gari upo very subjective to so many factors..

1. Ukanyagaji wa gas pedal yako
2. Barabara upitayo ni mwinuko au tambarale
3. speed unayotembea..mfano speed below 70 Gari inakua inefficient na speed above 120 Gari inakua inefficient (but hii ni kwa gari zenye traditional automatic gear box kwakua gear zake ni chache)
4. Kuna issue ya plugs na quality yake
5. Kuna uzima wa engine yaan level of compression katika kila cylinder...kama engine ina compression ya chini basi gari itakula mafuta because it will be working harder to power wheel.. vitu vinavoweza fanya compression iwe chini ni(kutokaza plugs, ring kuchoka, valve seals kuchoka, exhaust pipe kupasuka au kuweka exhaust pipe/muffler kubwa...vvti solenoid kutokua nzima ipasavo.
6. gearbox isipo kua na afya njema nayo inaweza leta shida ya fuel consumption (hapa ni kutokana na slippage mdani ya gear box...hii inawezs sababishwa na matumizi ya non recommended transmission fluid, or kuchoka kwa transmission fluid or clutches za transmission system kuchoka)
7. Kingine kinachoweza fanya Gari ikunywe mafuta sana na mchakato mzima wa combustion process kutokua kwa level inayotakiwa.. mfano hewa kua ndogo kutokana na air-cleaner kua chafu sana, au mass air flow sensor kua chafu na kushindwa ku pick data ya hewa inayopita kwenye throttle body hivo kupeleka wrong signal to ECU nakufanya air-fuel mixture ratio kutokua vizuri so gari kuanza kula mafuta mengi. Also since combustion process ni closed loop system basi pia oxygen sensor which provide details/feedback on effectiveness ya whole combustion process inaweza kua defective na kutoa signal zisizo sahihi na ku trigger ECU iruhusu injectors zimwage maguta mengi kwenye combustion chamber..pia check fuel injector zako kama zipo sawa na hazina any leakage

8. Kingine angalia tire pressure na uzito unaobeba kwenye gari unnecessarily...

9. Uwekaji wa matairi makubwa ambayo si recommended na manufacturer.

10. Kama Gari ina ac system check kama unapowasha ac je compressor inapata muda wa ku circle on and off? Kama haifanyi hivo basi lazima ikinyooshe..pia ac yako ni original iliyokuja na Gari au ni hizi za ku modify hapa Tanzania kwa kuweka compressor ambayo haikuja na Gari...mfano kama vitz inayokuja na compressor ya umeme(variable displacement compressor) unatoa unaweka compressor manual(fixed displacement compressor) hapa napo ni tatizo kwa modern cars...au system yako ya Ac umejaza gasi hivi karibuni? Na wakati wanajaza gas waliweka kwa kuzingatia weight ya refrigerant recommended for that specific car of yours or ndo ule ujazaji wa gas kwa kuangalia ubaridi wa return pipe na wa mwagia maji condenser basi mambo yakawa fresh,? Ni hivi gas ya ac isipo jazwa kwa kufuata weight basi ujue wakati wa jua kari gari itakutesa ukiwasha ac kwakua wakati wa joto kali gas u expand na kutengeneza pressure kubwa sana kwenye ac system na engine inakua inazumia nguvu kubwa sana kuzungusha compressor kwakua pressure imekua kubwa na fan ya ac utasikia inapiga kelele nyingi sana kupambana na ile pressure kwakua pressure ikiwa kubwa na joto la ac kwenye condenser linakua kubwa sana..so heavy compressor inasababisha engine ikule mafuta mengi.
Naomba unielekeze ofisi yako nije unishauri zaidi
Si kwa nondo hii
 
Is there any modification uliyofanya kwa gari yako including muffler? What is you driving behavior? Tafuta mtu mwenye mashine pima kitu kinaitwa fuel trim angalia kama ipo within spec...then check wave formation ya oxygen sensor baada ya hapo utajua shida ni nini.
Shukran mkuu
 
Cc 990 alafu ina 4wheel full time...unakula mafuta kama gari yenye cc 2000
 
Mimi yangu ni Swift cc660 inatakiwa kwenda km ngapi/1litre? Msaada pls. Gari ni no C, nimenunua mkononi kwa mtu
 
Wadau napenda kujua kuhusu hii gari yangu cc 990 kuhusu fuel consuptiom nimeweka mafuta ya 20k nikatembea nayo kwa umbali wa km 55.1 mafuta yakakata kabisa.

Ningependa kujua ni pia kuwa odometers zinadanganya au je pia kwa hiyo distance ni sahihi au kuna shida. Mafuta ya 20 ni sawa na litre 7.1.

Msaada tafadhali
Baba hii gari inatumia mafuta ungetaka isitumie mafuta tafuta Baiskeli jokes
 
Is there any modification uliyofanya kwa gari yako including muffler? What is you driving behavior? Tafuta mtu mwenye mashine pima kitu kinaitwa fuel trim angalia kama ipo within spec...then check wave formation ya oxygen sensor baada ya hapo utajua shida ni nini.
Ile gari ilipigwa masega mkuu
 
Back
Top Bottom