je, umeshafanikiwa katika jambo lako hili?Wana JF Education forum nilikuwa naomba anayejua sheria na taratibu za kufuata ili kuruhusiwa kuandika vitabu vvya masomo mbalimbali kwa level yoyote ya elimu tanzania isipokuwa UNIVERSITY LEVEL BOOKS.....!!Msaada pliiz kwa mwenye idea..!!