Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Heshima Kwenu.
Wakuu kama Miezi Sita iliyopita Nilinunua Nokia 5130 na nimeitumia Vizuri sana hadi kama wiki mbili zilizopita ilipoanza kunisumbua, Ina tatizo la kuzima na kujiwasha yenyewe kila baada ya dakika 7 au kumi. Nilidhani ni Viruse na kuamua kuipeleka nika-iflash na baada ya kuiflash bado tatizo lipo pale pale, Pia nilipojaribu kuangalia imei nimeshangaa kukuta haijakamilika,imeandika hivi (12345610654321?).
Je tatizo hili linatatulika au ndo simu tayari imekufa niitupe? Naomba Msaada wenu Wakuu.
Wakuu kama Miezi Sita iliyopita Nilinunua Nokia 5130 na nimeitumia Vizuri sana hadi kama wiki mbili zilizopita ilipoanza kunisumbua, Ina tatizo la kuzima na kujiwasha yenyewe kila baada ya dakika 7 au kumi. Nilidhani ni Viruse na kuamua kuipeleka nika-iflash na baada ya kuiflash bado tatizo lipo pale pale, Pia nilipojaribu kuangalia imei nimeshangaa kukuta haijakamilika,imeandika hivi (12345610654321?).
Je tatizo hili linatatulika au ndo simu tayari imekufa niitupe? Naomba Msaada wenu Wakuu.