RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,599
- 8,553
Sio poa wanakata baada ya kuwa nssf imetolewa kwenye Gross, hapa ndio kwenye ushetani kama wanalima mpaka house allowance+transport allowance, huu ndio unyonyaji.TRA wanakata kodi kwenye Goss
Nimeona tulikopishania. PAYE nilikufikisha around 250k.Ukikata Kodi zote kwenye basic Salary inakua hivi
10% ya nssf , inakua 10%×1,358,333.333= 135,833
Chukua basic Salary toa nssf
1,358,333-135,833= 1,222,200
Ukiweka hiki kiasi kwenye PAYE CALCULATOR unapata Kodi ya 194660.
Chukua heslb 15% ×1,358,333= 203,700
Chukua heslb 203,700+PAYE 194660+nssf 135833=535160 approximation.
Chukua basic Salary 1358333-535160=823,173 net pay. Sina calculator lkn nimetumia uzoefu tu wamakadirio.
Sijui kama allowance zinakatwa kodi, kwenye kibarua changu sina hizo allowance.Nimeona tulikopishania. PAYE nilikufikisha around 250k.
BTW mbona kama unajua? Nini lengo la kuuliza kitu unachokijua? Huo uzefu uliojibia hapa si ungeutumia kumjibu huyo dogo???
Ok sawa mkuu, nimekupata.Sijui. Sina allowance, mie nina perdiem ambazo huyo TRA hazimuhusu.
Na hapa kwetu
Inaanza nssf, after hapo wanakata PAYE kisha HESLB nk
nimtag???😆😆😆😆😆🙌Hili swali hata Mwa J asinge likosa mbwa yule....🤨
Ataniharibia shughuli yule....😜nimtag???😆😆😆😆😆🙌
Zinakatwa sikuiziAllowances nafikiri hazikatwi Kodi.
paye pekeyake kama wastani wanakata 505k27,000,000÷12= 2,258,333.333 per month Gross salary.
16,300,000÷12= 1,358,333.333 per month basic Salary.
8,100,000÷12= 675,000 per month house allowance.
2,700,000÷12= 225,000 per month transport allowance.
Zipi zakatwa Kodi?.
Weni kumanini?TRA wanakata kodi kwenye Goss
Hivi overtime inakatwa Kodi?Sijui. Sina allowance, mie nina perdiem ambazo huyo TRA hazimuhusu.
Na hapa kwetu
Inaanza nssf, after hapo wanakata PAYE kisha HESLB nk
Hivi overtime inakatwa Kodi
Haiwez kufika.paye pekeyake kama wastani wanakata 505k
Naomba nikupuuze binti...🤨Weni kumanini?