Msaada kuhusu kuappeal HESLB

Sep 2, 2012
48
7
Ndug wanajukwaa naomba kujua kama kuna mtuambaye ameshafanikiwa kuappeal HESLB kwa sababu nimejitahidi sana kuappeal kwa kufuata maelekezo waliyotoa katika blog yao.Kama kuna mtu ambaye amefanikiwa kuappeal naomba anisaidie ni njia ipi aliyotumia
 
Ndug wanajukwaa naomba kujua kama kuna mtuambaye ameshafanikiwa kuappeal HESLB kwa sababu nimejitahidi sana kuappeal kwa kufuata maelekezo waliyotoa katika blog yao.Kama kuna mtu ambaye amefanikiwa kuappeal naomba anisaidie ni njia ipi aliyotumia
nenda kwa mkuu wako wa chuo, kuna form zinatolewa chuoni hapo za kuapeal, utazijaza na evidence za kutosha then unasubmit hapo ulipoelekezwa na mkuu wako baada ya kulipia pesa kidogo, majibu hyatatoka mtandaoni, ukiwa umeongezewa asilimia kadhaa mjulishe mkuu wako wa chuo kwa kuprint hayo majina na kumpelekea
 
nenda kwa mkuu wako wa chuo, kuna form zinatolewa chuoni hapo za kuapeal, utazijaza na evidence za kutosha then unasubmit hapo ulipoelekezwa na mkuu wako baada ya kulipia pesa kidogo, majibu hyatatoka mtandaoni, ukiwa umeongezewa asilimia kadhaa mjulishe mkuu wako wa chuo kwa kuprint hayo majina na kumpelekea
.Mimi cjapata kabisa hata 0% je hapo itawezekana kuappeal?
 
nenda kwa mkuu wako wa chuo, kuna form zinatolewa chuoni hapo za kuapeal, utazijaza na evidence za kutosha then unasubmit hapo ulipoelekezwa na mkuu wako baada ya kulipia pesa kidogo, majibu hyatatoka mtandaoni, ukiwa umeongezewa asilimia kadhaa mjulishe mkuu wako wa chuo kwa kuprint hayo majina na kumpelekea
Na hizi habari wanazotangaza kuwa una appeal online zina ukweli? Yaani hapa hatuelewi kabisa.
 
nnacho kushauri, mfate mwalimu wako, Dean of Faculty atakushauri vizuri zaidi, mimi binafsi nilifanya kwa hard copy, nilijaza fom za kawaida n nikachek majb on lyn
Na hizi habari wanazotangaza kuwa una appeal online zina ukweli? Yaani hapa hatuelewi kabisa.
 
Back
Top Bottom