KISUNZU YP
Senior Member
- Jul 30, 2016
- 114
- 37
Msaada jamani kwenye status yangu iko hivyo maana yake mimi nimetemwa au ndo nitapata?
Hii ni second selection au? Nasema hivyo maana kwenye profile yangu wamenitumia hivi!acha hivyo hivyo usifanye kitu chochote kwenye profile na wala usi-reset choice,log out tu uondoke
kwa huyo jamaa ni second selection ila kwako CHUAKACHARA umechaguliwa ila subiria verification confrimation kutoka chuo husika watakacho kuchukuaHii ni second selection au? Nasema hivyo maana kwenye profile yangu wamenitumia hivi!
Dear............................
Kindly be informed that, you have been selected to one of your choice(s).
Your selection will be final after verification and confirmation from the institution you have been selected to.
You will be notified of your selection in your profile after confirmation from the institution.
You are therefore advised to stay calm and be patient while this process is taking place.
Huyu mbona ana vitu tofauti na ya kwangu!
Namimi ni second selection. ya kwanza sikupata, ya pili ndiyo hiikwa huyo jamaa ni second selection ila kwako CHUAKACHARA umechaguliwa ila subiria verification confrimation kutoka chuo husika watakacho kuchukua
kweli???Jamani kuna group LA watsapp About Nacte tupieni no kama unaitaji
Ndiyokweli???
+63 9380 436 809 my watsap nonjoo inbobo
0659449540+63 9380 436 809 my watsap no
Huna sifa, hivyo hujachaguliwa!Sorry hivi huu ujumbe unaosema ...NOT ELIGIBLE ....tatizo ni nini?