Modem hii inatengenezwa na ZTE na kimsingi ili kuweza kuitumia kwa mitandao mingine ni kuifanyia debranding yani kubadilisha kabisa dashboard iliyopo ya vodaphone na kuweka nyingine, ili kuweza kuweka dashboard nyingine, tumia QPST ili uweze kusoma na kuandika modem yako kisha uweke ISO ya tofauti,
viti unavyotakiwa kuwa navyo ni
QPST APPLICATION
ZTE.ISO
Unatakiwa kuwa na kaujanja ka computer kidogo ili kuweza kufanya hii mambo, kwa msaada zaidi unaweza kuni PM
fungua blog.extremetecharena.com/guides/do-it-yourself/debranding-vodafone-k3570z-usb-modem/
utaona hzi files download instal zote then unstall software ya voda .ZTE Drivers, ZTE Connection manager
download hizo file instal kwenye mashine itafunguka dashboard ya zte nenda settings apn weka internet number weka *99# apply .uninstall dashboard ya voda their you go to use line zote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.