Msaada ku-unlock Huawei modem e 173

Mkuu Asante sana sana! nimefata steps zote na zimekubali. Ila ushauri kidogo hapo kwenye kurestore imei hakuna haja ya kuadd new port inabidi utumie ile ile tu
 
Thanks Mjumbe
Finally Huawei E173 za Airtel zinaweza kuwa unlocked, Njia ni kama ya E153 Aliyoweka e2themiza sema kuna changes kidogo. Njia yenyewe ni hii hapa:

TAFADHALI SOMA POST YOTE NA UELEWE KABLA HUJAANZA PROCESS NA KUWA MAKINI SANA KWANI UKIKOSEA KIDOGO TU UNAWEZA UWA MODEM YAKO.

Download na Extract File nililoambatanisha na post hii. Anza ku install QPST.2.7.378. Ikimaliza usiifungue.

JQfG8iHk_3FQkEA-MdTaCbJoQp2Nie78JFToqccmNnMY09zf6DOE6zuV6LwtFysZpFtUqxUkpjlp2x0m7wx74fZaCKPE6F_UZSjuaEylaTVwGLoaKlxkUPQw2A


Then Chomeka modem yako, weka line ambayo haikubaliki ktk hiyo modem, itatokea dashboard na error kuwa huwezi tumia hii simcard click ok na exit hiyo dashboard hakikisha unaifunga kabisa.
Sasa nenda Device Manager> Ports locate modem yako kisha soma COM port yake


oDmAVzuDOPz0PEV3gbA2hr-hVk78Gd0Fv7cuQl5JpKaE-uFKH14xvHKuWmX208CFLnwzmFJtQpwg8WrfU4gJb5l5BE8c3nKkaaThQoxtNa9MufHvVYwO9l--D5qp1zcnMg


Sasa search ile software ulio install QPST na fungua QPST configuration
Start Menu > Programs> QPST


Uv5aSFU7V8GioUixjvpGb4LU_J5OgoIpppk3CNczYJDne0UwGFtDzDMlFQVwD8cHF1M5kU7-yKELmzqKr7zGnyrdu76I14aVN7Ox1S9d-fIxjcTN-f_N2YJTyEkiqG9A6w



Then click add new port, ile ulio iiangalia katika device manager


1gzQDUY4zqbog8uk9AkeU1OAzA_OT0XZpEqBct1VwEzjNbJJNtX9G0foDT4422nBJmECmDy3fPqbriEuiEmXWM915modawCiNGbV-hd4VhqVm-R958ZsaDHcYDW8ftfIFA


Uncheck "Show serial and USB/QC Diagnostic Ports only. ili zionekane port zote na uione yako kisha Ichague na click ok.

fdzqPdPR4s-LPk82FRZMNT-_jH1D8vfmlTQ1jirYpB_A4kHk-1TzNTdUCtmh_le2wWzIgxME2L0Hp1u6Tf2bTGna5bnyxeN2rpgNAI-OSH7qIGTNHD-Uou68kVV9DJ8E1g



Kama umechagua port sahihi then lazima utona imeandikwa hivi


HrX5F5fLZgzNqD7PFzaRPLFTcUdYy4Pq08z71ga5ovCW-DyhJy6N5eiVY_v3Pd2ufIPFk90IdAphqs3nu_bfhL-h7ZAuX6wNciUR-GI2WxvmBEiIudZwp_tw6MNVeKc_Yw


Kisha angalia juu kwenye Tabs na chagua Start Clients then chagua Software Download

FBoq-xsMfey8ctuMK0FNmTkAiugwYR621Fa3Sn0kCdi8A2tIqpXOXiWwh1vARhNC8K0jA2czjpZDb_s6v7LFcY_wz-DA1wSLiTturhGynCssOMs0XyVPc21TUwyIs9mBlw




Sasa uhai wa modem yako unategemea hii stage tafadhali kuwa makini sana. Click Back up tab kisha click browse kulia kwako na uchague location ambapo itasave backup yako, then click start na iache imalize ku backup. Kumbuka kuhakikisha imemaliza salama na Backup yako (.qcn) ipo ktk location uliyochagua kabla ya kuendelea na stage zinazofuata. Kufikia hapa awamu ya kwanza itakuwa imeisha, Chakufanya ifunge kabisa QPST kabla ya kuendelea.


fpYMvEsrhdwMTQSIbAQ-BlPop1oWOHN13cOAxDSbYO3MuFApt1ncE7rVg-Uw77uHR8J4KSp7s1A7JyVVQbz5t_Nki9cf_S-8pU_xA5BUHUukoLARSlsUo_wVkDKDSjRV1g



Sasa connect Computer yako Internet kwa kutumia simu au modem ambayo sio Huawei, hata kwa njia nyingine kama ipo.
Then Fungua Huawei Modem Flasher, Ifungue na angalia kushoto kwako na chagua COM port ya Modem yako, ushofu utaona COM port ni tofauti but utaona imeandikwa “3G PC UI interface”


dD-1IjAvFplwFyc51ZWa_CnTziv0B-zhmUJLC8qbFkHVr3V12hHicpee9z-CCwqqZCINMsKiBuNLZhctw7dSn84NhG5Gm8wcKwFPsZcGSfKVZDWo0X7hykxHEh1jg2SVOg


Then Click Read Modem Info Tab. Itasoma modem information na itasema OK ikimaliza, kama itaandika FAIL ujue una tatizo katika Internet au modem yako haijaunganishwa vizuri au modem inatumika na sehemu nyingine.


3WwvRLSOq9ltNajKulZOKFMR8heRxkzWvH0f2_oxGN26b_imbU3jkPW08fSxlatrWoKkpa1RbCa00_cy4cwtKrnIK8IgLCv6H44GDu6Uv0oMLCsagfMQzQqrFdRcDmqNWw



Then kisha angalia katika tabs juu na chagua "Select Firmware" Then chagua extract from EXE. Itafunguka window, sasa locate firmware ambayo ipo folder ulilo extract kabla file nilio ambatanisha, "E1731Update_11.126.15.00.00.B416" Then itaonyesha kama ifuatavyo


MSKKXEKf2dAp-1Ib8_kH1_D3yT0tb4pqBzhLkMg9ADVHqghguShOHNCIyCtOQX2CzEginuOn4To2nxY9oa6CCto5sV5evE0OwarF9BXNjm6VmuoXmA5Veb0gZpjOG142mg



Uncheck 05.bin kama hivi

Rczb8mdN6G0y6KIG0qeWsUOPMBXYP-2xlfKHOwd0pzra7ZfBD8cBokM6N0xFwNXeYb3q5BkCLWPuJKQg8nFFgszn8c-KrHWMKvTdeaP9IFAXvmpfs0MImrICsxekvTRBRw


Sasa rudi katika tabs juu na sasa chagua tab "Flash Modem" then chagua "Normal Mode" , Subiri kidogo then kuna kibox kitatokea just click OK, Baada ya modem kuingia katika Download mode (yani subiri km sekunde 10 hivi ndo U click OK otherwise Itakupa msg yakuwa ime FAIL).


ZP3OzIieVrk0REPxqjmiQdO7s1Lcc87EYtQY7nVTH_13nBt7ujCk4TXU2LcH3pmL7LSUeY3ekvmGLGrQMtn8NOQlgRNCPXOpix7J1FBLvWba6CiMBdyeda3mWEz-WJyGfA


Sasa subiria wakati firmware mpya ikiwekwa katika modem yako



1kawgJy6eMlMT8B5YH5ieaOYUARd1S1TVYAUakw2FFbEoKy2PyCEg_BP3MI8BXRw_S-Vu9MFYWEq11C5dMqL1Ec9on9fIvWxVs_5rw0nGdD5AgkkS6cIg2KjzKqlckvGVA


Kumbuka lazima utapata error katika 07.bin, Hiyo ni kawaida wala usiogope. Subiri kidogo then itakuwa imemaliza, close hiyo Huawei Modem Flasher

jO__JOBVye6ufZmd8YNU_EOA7Mi9t4MSqcuAzyJQZGwyi34HPssgLlhENZQstnb5vhfOA-H2wp8OreO4VkPwnKO53NYrHxmpNjPOY1-iyP7bt8GZClbityVMMR4jt8MQdg


Sasa chomoa na chomeka modem yako. Utaona haina uwezo wa kukamata tena network kwa sababu imepoteza IMEI so inabidi tufanye restore. Kufanya restore Rudia zile step za mwanzo kwa kufungua QPST configuration then add com port, Halafu tunaenda software download, lakini badala ya ku click backup tab, click restore tab.
Then click browse na chagua backup file tulilotengeneza mwanzo. Then click Start na acha i restore, Baada ya muda mfupi itakuwa imemaliza.

8SghL9GB6ipzwiJbgc5kJdoXJGZU3U25mOic6sH8u4kCyT7_5D3S12HllYzfhXQ2kthGozuN7OJvQ1QFfU7yB7mdyFAMAb5Xpog22eIF1AoZrCZ1oroV9b-ZJTq9pM48NQ



Ikimaliza unaweza funga QPST, then chomoa na chomeka modem yako. Kama utakuwa umefuata step zote kwa umakini modem yako E173 itakuwa Permanently Unlocked na unaweza tumia mtandao wowote sasa. Kumbuka IMEI imerudi ile ile kama mwanzo.

Ukifanikiwa usisite kutoa Feedback na pia kama utapata shida yoyote ile sema.

Note:
Njia ni salama kabisa nimesha unlock modem zaidi ya tatu na zinapiga mzigo kama kawaida. Kumbuka kuwa makini kwani unaweza uwa modem yako moja kwa moja.
Mimi sitahusika na uharibifu au tatizo lolote litakalojitokeza Just Risk Yourself.



 
mkuu me naomba unisaidie codes za alcatel modem, specification is X230e 05 245
X230-2LATTE3
imei 867612003912544

Hiyo ubovu wake tafutaaa Online Alcatel Unlock code calculator uone zote watakuomba hela na kubwa kidogo mm ni just 5000/- nakutumia Unlock code in 2days after confirmation of your order
 
Safi sana mkuu ila inaumiza kichwa process hiyo ila nimefanikiwa part ya mwisho iligoma nilikosea kuselect port sasa niki start ku restore inasema no phone port found nikajua kitu kishakufa ila shukrani sana nilposelect ingine ikatiki.
 
back up inatumia muda gani mana nimeiweka kwa zaid ya dk 30 imekwama ktk 99%. hapo nifanyaje mkuu
Finally Huawei E173 za Airtel zinaweza kuwa unlocked, Njia ni kama ya E153 Aliyoweka e2themiza sema kuna changes kidogo. Njia yenyewe ni hii hapa:

TAFADHALI SOMA POST YOTE NA UELEWE KABLA HUJAANZA PROCESS NA KUWA MAKINI SANA KWANI UKIKOSEA KIDOGO TU UNAWEZA UWA MODEM YAKO.

Download na Extract File nililoambatanisha na post hii. Anza ku install QPST.2.7.378. Ikimaliza usiifungue.

JQfG8iHk_3FQkEA-MdTaCbJoQp2Nie78JFToqccmNnMY09zf6DOE6zuV6LwtFysZpFtUqxUkpjlp2x0m7wx74fZaCKPE6F_UZSjuaEylaTVwGLoaKlxkUPQw2A


Then Chomeka modem yako, weka line ambayo haikubaliki ktk hiyo modem, itatokea dashboard na error kuwa huwezi tumia hii simcard click ok na exit hiyo dashboard hakikisha unaifunga kabisa.
Sasa nenda Device Manager> Ports locate modem yako kisha soma COM port yake


oDmAVzuDOPz0PEV3gbA2hr-hVk78Gd0Fv7cuQl5JpKaE-uFKH14xvHKuWmX208CFLnwzmFJtQpwg8WrfU4gJb5l5BE8c3nKkaaThQoxtNa9MufHvVYwO9l--D5qp1zcnMg


Sasa search ile software ulio install QPST na fungua QPST configuration
Start Menu > Programs> QPST


Uv5aSFU7V8GioUixjvpGb4LU_J5OgoIpppk3CNczYJDne0UwGFtDzDMlFQVwD8cHF1M5kU7-yKELmzqKr7zGnyrdu76I14aVN7Ox1S9d-fIxjcTN-f_N2YJTyEkiqG9A6w



Then click add new port, ile ulio iiangalia katika device manager


1gzQDUY4zqbog8uk9AkeU1OAzA_OT0XZpEqBct1VwEzjNbJJNtX9G0foDT4422nBJmECmDy3fPqbriEuiEmXWM915modawCiNGbV-hd4VhqVm-R958ZsaDHcYDW8ftfIFA


Uncheck "Show serial and USB/QC Diagnostic Ports only. ili zionekane port zote na uione yako kisha Ichague na click ok.

fdzqPdPR4s-LPk82FRZMNT-_jH1D8vfmlTQ1jirYpB_A4kHk-1TzNTdUCtmh_le2wWzIgxME2L0Hp1u6Tf2bTGna5bnyxeN2rpgNAI-OSH7qIGTNHD-Uou68kVV9DJ8E1g



Kama umechagua port sahihi then lazima utona imeandikwa hivi


HrX5F5fLZgzNqD7PFzaRPLFTcUdYy4Pq08z71ga5ovCW-DyhJy6N5eiVY_v3Pd2ufIPFk90IdAphqs3nu_bfhL-h7ZAuX6wNciUR-GI2WxvmBEiIudZwp_tw6MNVeKc_Yw


Kisha angalia juu kwenye Tabs na chagua Start Clients then chagua Software Download

FBoq-xsMfey8ctuMK0FNmTkAiugwYR621Fa3Sn0kCdi8A2tIqpXOXiWwh1vARhNC8K0jA2czjpZDb_s6v7LFcY_wz-DA1wSLiTturhGynCssOMs0XyVPc21TUwyIs9mBlw




Sasa uhai wa modem yako unategemea hii stage tafadhali kuwa makini sana. Click Back up tab kisha click browse kulia kwako na uchague location ambapo itasave backup yako, then click start na iache imalize ku backup. Kumbuka kuhakikisha imemaliza salama na Backup yako (.qcn) ipo ktk location uliyochagua kabla ya kuendelea na stage zinazofuata. Kufikia hapa awamu ya kwanza itakuwa imeisha, Chakufanya ifunge kabisa QPST kabla ya kuendelea.


fpYMvEsrhdwMTQSIbAQ-BlPop1oWOHN13cOAxDSbYO3MuFApt1ncE7rVg-Uw77uHR8J4KSp7s1A7JyVVQbz5t_Nki9cf_S-8pU_xA5BUHUukoLARSlsUo_wVkDKDSjRV1g



Sasa connect Computer yako Internet kwa kutumia simu au modem ambayo sio Huawei, hata kwa njia nyingine kama ipo.
Then Fungua Huawei Modem Flasher, Ifungue na angalia kushoto kwako na chagua COM port ya Modem yako, ushofu utaona COM port ni tofauti but utaona imeandikwa “3G PC UI interface”


dD-1IjAvFplwFyc51ZWa_CnTziv0B-zhmUJLC8qbFkHVr3V12hHicpee9z-CCwqqZCINMsKiBuNLZhctw7dSn84NhG5Gm8wcKwFPsZcGSfKVZDWo0X7hykxHEh1jg2SVOg


Then Click Read Modem Info Tab. Itasoma modem information na itasema OK ikimaliza, kama itaandika FAIL ujue una tatizo katika Internet au modem yako haijaunganishwa vizuri au modem inatumika na sehemu nyingine.


3WwvRLSOq9ltNajKulZOKFMR8heRxkzWvH0f2_oxGN26b_imbU3jkPW08fSxlatrWoKkpa1RbCa00_cy4cwtKrnIK8IgLCv6H44GDu6Uv0oMLCsagfMQzQqrFdRcDmqNWw



Then kisha angalia katika tabs juu na chagua "Select Firmware" Then chagua extract from EXE. Itafunguka window, sasa locate firmware ambayo ipo folder ulilo extract kabla file nilio ambatanisha, "E1731Update_11.126.15.00.00.B416" Then itaonyesha kama ifuatavyo


MSKKXEKf2dAp-1Ib8_kH1_D3yT0tb4pqBzhLkMg9ADVHqghguShOHNCIyCtOQX2CzEginuOn4To2nxY9oa6CCto5sV5evE0OwarF9BXNjm6VmuoXmA5Veb0gZpjOG142mg



Uncheck 05.bin kama hivi

Rczb8mdN6G0y6KIG0qeWsUOPMBXYP-2xlfKHOwd0pzra7ZfBD8cBokM6N0xFwNXeYb3q5BkCLWPuJKQg8nFFgszn8c-KrHWMKvTdeaP9IFAXvmpfs0MImrICsxekvTRBRw


Sasa rudi katika tabs juu na sasa chagua tab "Flash Modem" then chagua "Normal Mode" , Subiri kidogo then kuna kibox kitatokea just click OK, Baada ya modem kuingia katika Download mode (yani subiri km sekunde 10 hivi ndo U click OK otherwise Itakupa msg yakuwa ime FAIL).


ZP3OzIieVrk0REPxqjmiQdO7s1Lcc87EYtQY7nVTH_13nBt7ujCk4TXU2LcH3pmL7LSUeY3ekvmGLGrQMtn8NOQlgRNCPXOpix7J1FBLvWba6CiMBdyeda3mWEz-WJyGfA


Sasa subiria wakati firmware mpya ikiwekwa katika modem yako



1kawgJy6eMlMT8B5YH5ieaOYUARd1S1TVYAUakw2FFbEoKy2PyCEg_BP3MI8BXRw_S-Vu9MFYWEq11C5dMqL1Ec9on9fIvWxVs_5rw0nGdD5AgkkS6cIg2KjzKqlckvGVA


Kumbuka lazima utapata error katika 07.bin, Hiyo ni kawaida wala usiogope. Subiri kidogo then itakuwa imemaliza, close hiyo Huawei Modem Flasher

jO__JOBVye6ufZmd8YNU_EOA7Mi9t4MSqcuAzyJQZGwyi34HPssgLlhENZQstnb5vhfOA-H2wp8OreO4VkPwnKO53NYrHxmpNjPOY1-iyP7bt8GZClbityVMMR4jt8MQdg


Sasa chomoa na chomeka modem yako. Utaona haina uwezo wa kukamata tena network kwa sababu imepoteza IMEI so inabidi tufanye restore. Kufanya restore Rudia zile step za mwanzo kwa kufungua QPST configuration then add com port, Halafu tunaenda software download, lakini badala ya ku click backup tab, click restore tab.
Then click browse na chagua backup file tulilotengeneza mwanzo. Then click Start na acha i restore, Baada ya muda mfupi itakuwa imemaliza.

8SghL9GB6ipzwiJbgc5kJdoXJGZU3U25mOic6sH8u4kCyT7_5D3S12HllYzfhXQ2kthGozuN7OJvQ1QFfU7yB7mdyFAMAb5Xpog22eIF1AoZrCZ1oroV9b-ZJTq9pM48NQ



Ikimaliza unaweza funga QPST, then chomoa na chomeka modem yako. Kama utakuwa umefuata step zote kwa umakini modem yako E173 itakuwa Permanently Unlocked na unaweza tumia mtandao wowote sasa. Kumbuka IMEI imerudi ile ile kama mwanzo.

Ukifanikiwa usisite kutoa Feedback na pia kama utapata shida yoyote ile sema.

Note:
Njia ni salama kabisa nimesha unlock modem zaidi ya tatu na zinapiga mzigo kama kawaida. Kumbuka kuwa makini kwani unaweza uwa modem yako moja kwa moja.
Mimi sitahusika na uharibifu au tatizo lolote litakalojitokeza Just Risk Yourself.



 
Nami naomba msaada ni aje naweza kunlock huwaei B260 flybox modem
Axanteni
 
Finally Huawei E173 za Airtel zinaweza kuwa unlocked, Njia ni kama ya E153 Aliyoweka e2themiza sema kuna changes kidogo. Njia yenyewe ni hii hapa:

TAFADHALI SOMA POST YOTE NA UELEWE KABLA HUJAANZA PROCESS NA
KUWA MAKINI SANA KWANI UKIKOSEA KIDOGO TU UNAWEZA UWA MODEM YAKO.


Download na Extract File nililoambatanisha na post hii. Anza ku install QPST.2.7.378. Ikimaliza usiifungue.

JQfG8iHk_3FQkEA-MdTaCbJoQp2Nie78JFToqccmNnMY09zf6DOE6zuV6LwtFysZpFtUqxUkpjlp2x0m7wx74fZaCKPE6F_UZSjuaEylaTVwGLoaKlxkUPQw2A


Then Chomeka modem yako, weka line ambayo haikubaliki ktk hiyo modem, itatokea dashboard na error kuwa huwezi tumia hii simcard click ok na exit hiyo dashboard hakikisha unaifunga kabisa.
Sasa nenda Device Manager> Ports locate modem yako kisha soma COM port yake


oDmAVzuDOPz0PEV3gbA2hr-hVk78Gd0Fv7cuQl5JpKaE-uFKH14xvHKuWmX208CFLnwzmFJtQpwg8WrfU4gJb5l5BE8c3nKkaaThQoxtNa9MufHvVYwO9l--D5qp1zcnMg


Sasa search ile software ulio install QPST na fungua QPST configuration
Start Menu > Programs> QPST


Uv5aSFU7V8GioUixjvpGb4LU_J5OgoIpppk3CNczYJDne0UwGFtDzDMlFQVwD8cHF1M5kU7-yKELmzqKr7zGnyrdu76I14aVN7Ox1S9d-fIxjcTN-f_N2YJTyEkiqG9A6w



Then click add new port, ile ulio iiangalia katika device manager


1gzQDUY4zqbog8uk9AkeU1OAzA_OT0XZpEqBct1VwEzjNbJJNtX9G0foDT4422nBJmECmDy3fPqbriEuiEmXWM915modawCiNGbV-hd4VhqVm-R958ZsaDHcYDW8ftfIFA


Uncheck "Show serial and USB/QC Diagnostic Ports only. ili zionekane port zote na uione yako kisha Ichague na click ok.

fdzqPdPR4s-LPk82FRZMNT-_jH1D8vfmlTQ1jirYpB_A4kHk-1TzNTdUCtmh_le2wWzIgxME2L0Hp1u6Tf2bTGna5bnyxeN2rpgNAI-OSH7qIGTNHD-Uou68kVV9DJ8E1g



Kama umechagua port sahihi then lazima utona imeandikwa hivi


HrX5F5fLZgzNqD7PFzaRPLFTcUdYy4Pq08z71ga5ovCW-DyhJy6N5eiVY_v3Pd2ufIPFk90IdAphqs3nu_bfhL-h7ZAuX6wNciUR-GI2WxvmBEiIudZwp_tw6MNVeKc_Yw


Kisha angalia juu kwenye Tabs na chagua Start Clients then chagua Software Download

FBoq-xsMfey8ctuMK0FNmTkAiugwYR621Fa3Sn0kCdi8A2tIqpXOXiWwh1vARhNC8K0jA2czjpZDb_s6v7LFcY_wz-DA1wSLiTturhGynCssOMs0XyVPc21TUwyIs9mBlw




Sasa uhai wa modem yako unategemea hii stage tafadhali kuwa makini sana. Click Back up tab kisha click browse kulia kwako na uchague location ambapo itasave backup yako, then click start na iache imalize ku backup. Kumbuka kuhakikisha imemaliza salama na Backup yako (.qcn) ipo ktk location uliyochagua kabla ya kuendelea na stage zinazofuata. Kufikia hapa awamu ya kwanza itakuwa imeisha, Chakufanya ifunge kabisa QPST kabla ya kuendelea.


fpYMvEsrhdwMTQSIbAQ-BlPop1oWOHN13cOAxDSbYO3MuFApt1ncE7rVg-Uw77uHR8J4KSp7s1A7JyVVQbz5t_Nki9cf_S-8pU_xA5BUHUukoLARSlsUo_wVkDKDSjRV1g



Sasa connect Computer yako Internet kwa kutumia simu au modem ambayo sio Huawei, hata kwa njia nyingine kama ipo.
Then Fungua Huawei Modem Flasher, Ifungue na angalia kushoto kwako na chagua COM port ya Modem yako, ushofu utaona COM port ni tofauti but utaona imeandikwa “3G PC UI interface”


dD-1IjAvFplwFyc51ZWa_CnTziv0B-zhmUJLC8qbFkHVr3V12hHicpee9z-CCwqqZCINMsKiBuNLZhctw7dSn84NhG5Gm8wcKwFPsZcGSfKVZDWo0X7hykxHEh1jg2SVOg


Then Click Read Modem Info Tab. Itasoma modem information na itasema OK ikimaliza, kama itaandika FAIL ujue una tatizo katika Internet au modem yako haijaunganishwa vizuri au modem inatumika na sehemu nyingine.


3WwvRLSOq9ltNajKulZOKFMR8heRxkzWvH0f2_oxGN26b_imbU3jkPW08fSxlatrWoKkpa1RbCa00_cy4cwtKrnIK8IgLCv6H44GDu6Uv0oMLCsagfMQzQqrFdRcDmqNWw



Then kisha angalia katika tabs juu na chagua "Select Firmware" Then chagua extract from EXE. Itafunguka window, sasa locate firmware ambayo ipo folder ulilo extract kabla file nilio ambatanisha, "E1731Update_11.126.15.00.00.B416" Then itaonyesha kama ifuatavyo


MSKKXEKf2dAp-1Ib8_kH1_D3yT0tb4pqBzhLkMg9ADVHqghguShOHNCIyCtOQX2CzEginuOn4To2nxY9oa6CCto5sV5evE0OwarF9BXNjm6VmuoXmA5Veb0gZpjOG142mg



Uncheck 05.bin kama hivi

Rczb8mdN6G0y6KIG0qeWsUOPMBXYP-2xlfKHOwd0pzra7ZfBD8cBokM6N0xFwNXeYb3q5BkCLWPuJKQg8nFFgszn8c-KrHWMKvTdeaP9IFAXvmpfs0MImrICsxekvTRBRw


Sasa rudi katika tabs juu na sasa chagua tab "Flash Modem" then chagua "Normal Mode" , Subiri kidogo then kuna kibox kitatokea just click OK, Baada ya modem kuingia katika Download mode (yani subiri km sekunde 10 hivi ndo U click OK otherwise Itakupa msg yakuwa ime FAIL).


ZP3OzIieVrk0REPxqjmiQdO7s1Lcc87EYtQY7nVTH_13nBt7ujCk4TXU2LcH3pmL7LSUeY3ekvmGLGrQMtn8NOQlgRNCPXOpix7J1FBLvWba6CiMBdyeda3mWEz-WJyGfA


Sasa subiria wakati firmware mpya ikiwekwa katika modem yako



1kawgJy6eMlMT8B5YH5ieaOYUARd1S1TVYAUakw2FFbEoKy2PyCEg_BP3MI8BXRw_S-Vu9MFYWEq11C5dMqL1Ec9on9fIvWxVs_5rw0nGdD5AgkkS6cIg2KjzKqlckvGVA


Kumbuka lazima utapata error katika 07.bin, Hiyo ni kawaida wala usiogope. Subiri kidogo then itakuwa imemaliza, close hiyo Huawei Modem Flasher

jO__JOBVye6ufZmd8YNU_EOA7Mi9t4MSqcuAzyJQZGwyi34HPssgLlhENZQstnb5vhfOA-H2wp8OreO4VkPwnKO53NYrHxmpNjPOY1-iyP7bt8GZClbityVMMR4jt8MQdg


Sasa chomoa na chomeka modem yako. Utaona haina uwezo wa kukamata tena network kwa sababu imepoteza IMEI so inabidi tufanye restore. Kufanya restore Rudia zile step za mwanzo kwa kufungua QPST configuration then add com port, Halafu tunaenda software download, lakini badala ya ku click backup tab, click restore tab.
Then click browse na chagua backup file tulilotengeneza mwanzo. Then click Start na acha i restore, Baada ya muda mfupi itakuwa imemaliza.

8SghL9GB6ipzwiJbgc5kJdoXJGZU3U25mOic6sH8u4kCyT7_5D3S12HllYzfhXQ2kthGozuN7OJvQ1QFfU7yB7mdyFAMAb5Xpog22eIF1AoZrCZ1oroV9b-ZJTq9pM48NQ



Ikimaliza unaweza funga QPST, then chomoa na chomeka modem yako. Kama utakuwa umefuata step zote kwa umakini modem yako E173 itakuwa Permanently Unlocked na unaweza tumia mtandao wowote sasa. Kumbuka IMEI imerudi ile ile kama mwanzo.

Ukifanikiwa usisite kutoa Feedback na pia kama utapata shida yoyote ile sema.

Note:
Njia ni salama kabisa nimesha unlock modem zaidi ya tatu na zinapiga mzigo kama kawaida. Kumbuka kuwa makini kwani unaweza uwa modem yako moja kwa moja.
Mimi sitahusika na uharibifu au tatizo lolote litakalojitokeza Just Risk Yourself.



kaka G thanx kwa hii method kwa kweli ni nzuri.., shida yangu ni kwenye huawei flasher..kila nikifungua ile exe inaniambia "can connect to server byebye",sasa inabidi nichomeke modem mbili ikiwemo ya kuunlokiwa na nyingine ili flasher irun au nifanyeje maana kila kitu kimeenda poa shida ni kwenye flasher tu,.,plz help kaka G..
 
kaka G thanx kwa hii method kwa kweli ni nzuri.., shida yangu ni kwenye huawei flasher..kila nikifungua ile exe inaniambia "can connect to server byebye",sasa inabidi nichomeke modem mbili ikiwemo ya kuunlokiwa na nyingine ili flasher irun au nifanyeje maana kila kitu kimeenda poa shida ni kwenye flasher tu,.,plz help kaka G..
hata mimi imenisumbua hapo ila nimekuja pata solution ni to download new version ya hiyo huawei flasher gonga hapa Download huawei flasher 1.6.zip
 
Jaman ambaye anasoftware ya kuaunlock modem ya airtell huawei e 173 anisaidie jamani

Hi sofware chombo si salama kufungua simu yako kwa sababu baadhi ya nyakati makosa huweza kutokea. Hivyo bora unaweza kutumia kufungua code. Ni bora na salama njia ya kufungua simu yako. Kama unahitaji kufungua code unaweza kutembelea tovuti hii Theunlockarena.com hapa unaweza kupata kanuni na kufungua e173 yako huawei Modem.
 
kwa faida ya wengi, hii software QPST pia huweza kutumika ku-unlock cdma devices, nime unlock sprint mobile yangu using it
 
Back
Top Bottom