Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
- Thread starter
- #21
Like a father like a son, Baba anapenda viatu vya aina fulani ambayo na mtoto anapenda, Huyo mbwa kiufupi hajatumwa wala nini ila mmemchanganya. Big up kwa kuwa na mtoto mnaye lingana mkuu ila watch out, msipende kutembelea maenea yanayo fanana (kama yeye anatembelea maeneo ya kusini basi wewe elekea kaskazini) lasivyo kuna mapanya mamende mapaka, kunguru nk nk..Nimeipenda hii
...dah, jibu lako lina fumbo! Anyway, acha niendelee kulitafakari mpaka nitapolifumbua.
Hili sredi la mheshimiwa mosquito linahitaji uwe na masters ndo uweze kulichangia inavyostahili.
Ngoja nimalizie dissertation then nakuja.
Ndugu yangu klorokwini amepotelea wapi?
Ngoja nivae viatu vyake kabla havijaliwa na jibwa koko.
...Aspirin, wapi klorokwini?
e bana usichelewe bana. Muda unakwenda nami bado nimetahayari hapa ugenini.
Nikijifikiria kukatiza uraiani, mimi na mwanangu sote tuna kiatu kimoja mguuni, mnh?
Tutaelewekaje?