sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahaha, usifanye hivyo tafadhal, nlpatwa na kijitatzo, ntakuPM unipe ushauri. Sitaki kumwaga mchele. Nisamehe sana babu.Sweetlady niko hapa.
Nna mpango wa kuwakodi Majembe Auction Mart waje wanisaidie kudai deni langu.