fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,109
- 19,993
Hii simu imenunuliwa nje na ilikuwa inatumika kabla ya kuletwa hapa Tanzania. Cha ajabu haikubali mitandao ya kibongo. Yaani ukiingiza line yoyote ile, iwe ya airtel, tigo au voda network haikamati kabisa. Je kiufundi inaweza ikafanya kazi au niachane nayo tu? Naomba msaada wenu wakuu