We usalama wa taifa.... unajaribu kutuchimbaWadau wa Jf naomben mnisaidie kwa yeyote anayejua jinsi ya kuwa mpelelezi(spy)wa taifa kwa yeyote anayejua kuhusu hili.
Hiyo nafasi imeshachukuliwa na Baraka obama.jamani mi nataka kuwa usalama wa dunia
Wadau wa Jf naomben mnisaidie kwa yeyote anayejua jinsi ya kuwa mpelelezi(spy)wa taifa kwa yeyote anayejua kuhusu hili.
yes ,mie npo Dar napatkana Oysterbay karbu na kwa wazri fulan hv.
Good! Perfect location, sasa anza kwa kua Mdaku unapeleka umbea kwa huyo wazri fulan then mambo yataanza kunyooka taratibu, wala usiwe na haraka.
Huyo hawezi UWEZO wa KUFIKIRI ni problame