Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
Naombeni mtaalamu anieleweshe kwanza nimeshindwa kuaccess sehemu ambayo nitaona function ya mtandao ili niweze ona salio na kuongeza hela, pia apple Id imekuwa inasumbua kulog na pia kuna option za kuregister zinasumbua zinataka ujaze visa card no or master card nimejaza zangu ila inakataa kuload na pia kuna baadhi ya sehemu Tanzania haiko ktk orodha ya nchi. Jamani hebu nisaidieni jinsi ya kuoparate hii kitu