cuchi
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 218
- 74
Habari wana JF.
Mimi ni binti mwenye unene wa kawaida ila tatizo langu lipo kwenye shingo yaan ikitokea nimeongeza uzito kidogo ninakuwa na mafuta mengi shingoni kiasi cha kwamba hta nikiinamisha kichwa kidogo yale manyama chini ya kidevu yanafika kifuani.
Hii hali inanikosesha amani yaani naonekana mnene usoni kuliko hata mwili.nimejaribi kutumia bidhaa tofauti kama aloevera toner naona hamna mabadiliko.
Msaada wana jamii wenzangu.
Mimi ni binti mwenye unene wa kawaida ila tatizo langu lipo kwenye shingo yaan ikitokea nimeongeza uzito kidogo ninakuwa na mafuta mengi shingoni kiasi cha kwamba hta nikiinamisha kichwa kidogo yale manyama chini ya kidevu yanafika kifuani.
Hii hali inanikosesha amani yaani naonekana mnene usoni kuliko hata mwili.nimejaribi kutumia bidhaa tofauti kama aloevera toner naona hamna mabadiliko.
Msaada wana jamii wenzangu.