Nkwenda Nkwililima
Member
- Jul 12, 2015
- 84
- 231
Habari ndugu zangu naomba mwenye kujua jinsi ya kupata namba za nida nazipata wapi na nini kinahitajika ili kukamilisha mchakato huu
Naombeni msaada kwa wenye kujua
Naombeni msaada kwa wenye kujua
Nenda kwenye ofisi za NIDA za wilaya uliopo utapata maelekezo yote huku utapata majibu ya shombo maana watu washavurugwa na Idd ya mafungu. Tanga na Kagera, Uganda, Kenya na Rwanda wamesherekea leo. Sasa sijui kama kesho Bakwata watasema Idd iliisha jana(yaani leo) au la.Habari ndugu zangu naomba mwenye kujua jinsi ya kupata namba za nida nazipata wapi na nini kinahitajika ili kukamilisha mchakato huu
Naombeni msaada kwa wenye kujua