Danp36
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,097
- 920
Wana jamii forum poleni na kazi za kulijenga taifa,naomba kuuliza,kuna rafiki yangu mtaani hapa anampenzi wake ambae anatarajia kutangaza uchumba.lakini huyo mwanamke kamwambia ukweli jamaa kwamba,yeye anatokea kwenye kabila wanalo practise fgm{wanakeketa},na wamemfanyia hicho kitendo tangu utotoni,je kuna matatizo gani jamaa atapata?,pia nasikia hawapati hisia kama wanawake wengie.msaada