KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wanajf wenzangu mambo vp? Naombeni kuuliza kwa wenye uzoefu wa kutumia nishati ya gesi kwa matumizi ya nyumbani kwa kupikia.Mahitaji yangu ni familia ya watu watatu mimi waifu bintinti wa kazi na mtoto.Naomba mchanganuo wa matumizi kama ifuatavyo:
Mtungi wa kg30 unatumika kwa muda gani?
..................... kg20..................................................?
......................kg15..................................................?
Tafadhali sana naombeni msaada wenu.
Mtungi wa kg30 unatumika kwa muda gani?
..................... kg20..................................................?
......................kg15..................................................?
Tafadhali sana naombeni msaada wenu.