Nimechaguliwa shule ya same boys high school comb ya PCM......Naomba anayeifahamu mazingira yake anijuze tafadhali
mazingira yanakusaidia nini? Nenda kasome tena ukomae usije ukatia aibu ma hiyo PCM yako
Ni vyema kuyafahamu mazingira mapema....mimi sijawahi kufika huko kilimanjaro hata mara moja.
Napenda kuijua mapema ili kama ni kuhama nianze kujipanga mapema
Dogo haina haja ya kufikiria kuhama!
Same boys ni shule nzur sana! Walimu wapo weng, maktaba zimesheheni vitabu na maabara ziko vizuri tu.
infrastructure nzur, mabwen safi! Mazingira poa ya kijani kibichi. Mabwen mazur kama lumumba,nkurumah,aggrey etc na shule iko fenced ulinzi mzuri.
jiran kuna mitaa mizuri ya kula bata kama masandare hivi! Pia kuna place ya picnic inaitwa kishaa! Ila huko picnic wanaenda o-level zaid. Ila sehem inaitwa steshen utakuwa unaenda every wkend! Na hata katkat ya wik pia itadepend uko vp!
Thats Same boys! Hahaha
Thanks brother!!
Na vipi kuhusu historia yake ya kitaaluma?
Historia ya taaluma ni nzuri, ila inategemea na background yako! Kama umetoka shule za spoon feeding au umetoka shule za kukomaa kwa sana ku search material.
nadhan hapo fast jet anaweza kufafanua zaid manake naona kama vile kapita au anapafaham vzur hapo same sec.
ongera kwa kuchagulia, same sec iko upande wa pili na stend ya mabasi same nikama km 1 hivi kutoka barabara kubwa mazingira ya pale ni ukame uwe tayari kuoga mwisho wa wk kwasababu maji ni ya shida
Kaka nimetoka shule za msoto.....
Kaka nimetoka shule za msoto.....
mi mwenyewe nipo huko pmj sana
Nimechaguliwa shule ya same boys high school comb ya PCM......Naomba anayeifahamu mazingira yake anijuze tafadhali
Dogo haina haja ya kufikiria kuhama!
Same boys ni shule nzur sana! Walimu wapo weng, maktaba zimesheheni vitabu na maabara ziko vizuri tu.
infrastructure nzur, mabwen safi! Mazingira poa ya kijani kibichi. Mabwen mazur kama lumumba,nkurumah,aggrey etc na shule iko fenced ulinzi mzuri.
jiran kuna mitaa mizuri ya kula bata kama masandare hivi! Pia kuna place ya picnic inaitwa kishaa! Ila huko picnic wanaenda o-level zaid. Ila sehem inaitwa steshen utakuwa unaenda every wkend! Na hata katkat ya wik pia itadepend uko vp!
Thats Same boys! Hahaha